lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 727
- 1,986
Soko matola ukumbi wa mkapa, majengo- legico hiyo ndo mitaa niliyokulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko matola ukumbi wa mkapa, majengo- legico hiyo ndo mitaa niliyokulia.
Sijiiiiiiiii[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]Heaven Sent njoo nikuchokoze huku
Yah mule muleSoko matola ukumbi wa mkapa, majengo- legico hiyo ndo mitaa niliyokulia.
Mkuu, tunaomba utuoneshe na lile ghorofa lenye rekodi ya kuwa na lift ya kwanza Jijini Mbeya, hadi akina Mwakipesile wakaomba iwapeleke Mwakaleli.
🤣🤣🤣 nami nilione mweeMkuu, tunaomba utuoneshe na lile ghorofa lenye rekodi ya kuwa na lift ya kwanza Jijini Mbeya, hadi akina Mwakipesile wakaomba iwapeleke Mwakaleli.
😂😂 mkuu nimejaribu kujua ni wapi hapa nimetoka kapa
Hiyo nyumba nyekundu huo siyo uezekaji ni ushamba mkubwa.
Mi ngoja niguess, Uyole ya kati Saint Anne[emoji23][emoji23] mkuu nimejaribu kujua ni wapi hapa nimetoka kapa
Kweli jirani zako, wamekuambukiza hadi kusema Mbaka badala ya mpaka.Naona mmeliamsha majirani..... Mbaka Huku naskia kelele zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hiyo nyumba nyekundu huo siyo uezekaji ni ushamba mkubwa.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] mkuu nimejaribu kujua ni wapi hapa nimetoka kapa
[emoji23][emoji23][emoji23]
Serikali inampango gani na watu wanaojenga kuufata mlima?Mlima lolezaView attachment 1723616
Hapa ngumu ku guess mkuu details chache[emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia vizuri halafu mnipe majibuView attachment 1725317
Jaribu kuangalia ile miti.Hapa ngumu ku guess mkuu details chache
Itakua kalobe hii mkuuJaribu kuangalia ile miti.
Nishule ya boys kubwa Sana hapa bongo
Pale pembeni ya Sheri usiku wanakaaga polisi[emoji1][emoji1][emoji1] yes mkuu ituta. Karibu na kwa desai