Mbeya: Polisi wadaiwa kuwakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30 usiku huu.

Waliokamatwa ni Pamoja na

-Joseph Mbilinyi (Sugu)

-Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa)

-Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
 
Kisa nini?wamehutubia kabla ya PM?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…