Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utabaki kusema hivyo hivyo tu.Akili zenu wafuasi wa upumbavu ni za kijinga sana
Kenge hasikii mpaka damu imtoke ccm ni kengeAcha tuendelee kuombeana mabaya tu,na hatutakuja kuwa wamoja kamwe kwa sababu hata kale ka imani kadogo kalikoanza kurudi,wamekachafua
Inasemekana ndio wa kwanza dunianiHata hadhi ya kuitwa mama Sasa itapotea ataitwa dictator maana hakuna mama dictator.
Shauri yako; endelea na stori zako za vijiweni.Ndiyo maana uli disco DUCE pamoja na kuwa uvccm.
Primitive people are in control!
Hivi mlitegemea maajabu gani kutoka CCM? Adui namba moja ni CCM ambao wametengeneza huu mfumo kandamiziWhats wrong, mbona serikali hii imekuwa ya ajabuajabu namna hii?
Ukitaka kujua hawa jamaa hamnazo,angalia gari hiyo. Yaani madirisha yanakingwa kama benki,kama vile huko mbele ndio panakuwa na watu,kumbe nyuma ndio wanajazana!!
Ndiyo maana uli disco DUCE pamoja na kuwa uvccm.Ku
Kufeli Duce ni aibu ya karne ! hakuna chuo rahisi kama hicho , hii ni kwamba huyo aliyefeli kichwani kuna tope badala ya ubongoNdiyo maana uli disco DUCE pamoja na kuwa uvccm.
Kwa kosa gani?Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30 usiku huu.
Waliokamatwa ni Pamoja na
-Joseph Mbilinyi (Sugu)
-Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa)
-Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
Mama Samia, nchi inamponyoka mikononi kwa kasi.Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30 usiku huu.
Waliokamatwa ni Pamoja na
-Joseph Mbilinyi (Sugu)
-Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa)
-Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
Leta vyeti, Kama alivyofanya Deogratius Kisandu a.k a DON NalimisonShauri yako; endelea na stori zako za vijiweni.
Tunatawaliwa na wajinga.Primitive people are in control!
Mkuu anaitwa mama wa kamboHata hadhi ya kuitwa mama Sasa itapotea ataitwa dictator maana hakuna mama dictator.
IMbona Jana Dodoma kulikuwa na Jojina sijui hawakuwakamata
Bi MkolaMkuu anaitwa mama wa kambo
Ni aina fulani ya kuku wenye maumbo makubwa ni hybrid nadhani wanatoka kati ya india malawi au izraelChaso ndio mdudu gani