SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na uzuri hawa watesi wetu wanaishi uraiani, na wana familia,rahisi tu anatoka kuwapiga mabomu akirudi kwake anakuta turubaiInatakiwa CHADEMA na ninyi wakamateni hao wanaowakamata kwa namna yeyote ile.
Sasa kama wamekiuka sheria wasikamatwe kwani wao ni nani?
tumesha zoea kauli kama hizi, acha vitishoutawala wa samia soon unaipeleka nchi kwenye machafuko
Elimu.Elim Elim Elim
Hakuna haja. Kama unakiuka sheria tegemea kushughulikiwa. Unaambiwa usifanye wewe unafanya, unategemea nini?
Hiyo siku haitatokea, tunaelewana?Tabia za roho mbaya ni pamoja ya kufurahia wenzako wanapo pata shida .Ila kuna siku utakuja kujua thamani tya watu wanaokupambania.
Nyerere.. Upumbavu una kimosawa urefu na ufupiPrimitive people are in control!
Nyumba kubwa anajaribu kuonyesha umwambaWhats wrong, mbona serikali hii imekuwa ya ajabuajabu namna hii?