Wakulima wanapaswa wasome vizuri utaratibu, wasije kuanza kutukana kama walimu walivyofanya kutokuelewa 23.3
Hizi bei sio kwamba ukienda tu dukani utakuta hivyo, hapana. Kuna utaratibu wa wakulima kusajiliwa kwenye mfumo na kupata hizo mbolea kwa bei hiyo.