Watu wanataka kujua kwamba hii gari inatumika kwa matumizi gani.
Mbeya ni jiji ila halijaendelea sana kwa huduma hizi.
Kama malipo ni mazuri watu hawaoni hatari kutoa ndinga Dar mpaka hapo.
Lakini kwanza Kujua yafuatayo
a)Je ni kwa kazi gani
b)Gari inakodiwa na Kampuni au mtu binafsi
c)Dhamani ya gari isiwe yenye thamani chini ya 50m,maana hapo najua ni Prado au VX Amazon.
d)Inakodiwa kwa muda gani
Hayo ni maangalizi,maana mtu anaweza kukodi gari akakuletea craper
Nipo mbeya ngoja ntauliza kwa wadau then ntakufahamisha au kukupatia contacts...ila naona nyingi wanazokodisha ni Kluger...cjui ka itakufaaSawa mkuu kwa upand wa aina gari nimeeleza siku ni trh 24,25 na 26 june 2014. trh 24 ni airport to hotel hapohapo mby na trh 25 ni kwenda njombe trh 26 kurudi mby mojakwamoja airport. bei mwenye gari aangalie garama zake ila gari/kampuni iwe ni mby kwa maana garama ni za gari ambayo ipo mby( kama ingekuwa ni kutoka dar tungepeleka hata gari ya ofisini)
Asante kwa ushauri
Asante sana mkuu, tayari nimeshapata kiongozi na jioni ya leo nitakuwa jijini kwenu hapo kiongoziNipo mbeya ngoja ntauliza kwa wadau then ntakufahamisha au kukupatia contacts...ila naona nyingi wanazokodisha ni Kluger...cjui ka itakufaa
Watu wanataka kujua kwamba hii gari inatumika kwa matumizi gani.
Mbeya ni jiji ila halijaendelea sana kwa huduma hizi.
Kama malipo ni mazuri watu hawaoni hatari kutoa ndinga Dar mpaka hapo.
Lakini kwanza Kujua yafuatayo
a)Je ni kwa kazi gani
b)Gari inakodiwa na Kampuni au mtu binafsi
c)Dhamani ya gari isiwe yenye thamani chini ya 50m,maana hapo najua ni Prado au VX Amazon.
d)Inakodiwa kwa muda gani
Hayo ni maangalizi,maana mtu anaweza kukodi gari akakuletea craper
Watu wanataka kujua kwamba hii gari inatumika kwa matumizi gani.
Mbeya ni jiji ila halijaendelea sana kwa huduma hizi.
Kama malipo ni mazuri watu hawaoni hatari kutoa ndinga Dar mpaka hapo.
Lakini kwanza Kujua yafuatayo
a)Je ni kwa kazi gani
b)Gari inakodiwa na Kampuni au mtu binafsi
c)Dhamani ya gari isiwe yenye thamani chini ya 50m,maana hapo najua ni Prado au VX Amazon.
d)Inakodiwa kwa muda gani
Hayo ni maangalizi,maana mtu anaweza kukodi gari akakuletea craper
Kweli Mbeya Zero,
Tenda hii mpaka leo haijapata mtu?
Maana kwa Dar hata haitangazwi hii inakuwa imeishajaa
Ha ha ha!...cc masopakyindi and Lole Gwakisa
Ha ha ha!
Mkuu actualy mi nauza VX yangu B reg.
Exellent condition, diesel turbo charged, kama jamaa yuko interested!
Mkuu bei maelewano na nauza kwa sababu nime upgrade.Mkuu sema bei....ni ya mwaka gani?.......