clemence
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 594
- 212
Habari wadau,
naomba kufahamishwa kama kuna anayefahamu kampuni ya kukodisha magari jijini mbeya au hata kama kuna mtu ana gari yake naomba tuwasiliane, aina ya gari iwe rand cruiser vx/gx au hata prado ila iwe kwenye hali nzuri, naitaji kwa trh 24 june 2014. 0713 526346
naomba kufahamishwa kama kuna anayefahamu kampuni ya kukodisha magari jijini mbeya au hata kama kuna mtu ana gari yake naomba tuwasiliane, aina ya gari iwe rand cruiser vx/gx au hata prado ila iwe kwenye hali nzuri, naitaji kwa trh 24 june 2014. 0713 526346