Mbeya: Serikali imeshindwa kutengeneza barabara, sasa wanatumia wazee kufanya kazi kutengeneza barabara ndipo wawape pesa za TASAF

Mbeya: Serikali imeshindwa kutengeneza barabara, sasa wanatumia wazee kufanya kazi kutengeneza barabara ndipo wawape pesa za TASAF

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ulianzishwa kwa lengo la kunusuru kaya masikini na kusaidia wananchi wasiojiweza wakiwemo wazee.

Baada ya kufikiwa na mpango huo kwa baadhi ya wananchi waliopo kijiji cha Shibolya kilichopo wilaya na Mkoa wa Mbeya ulionekana kuwa msaada mkubwa katika kuzikwamua kaya masikini kiuchumi kutokana na ufanisi na mipango iliyokuwepo.

Mambo yalianza kubadilika taratibu baada ya kundi kubwa la wanufaika wa mpango huo kuanza kuondolewa na ili kurudishwa katika mpango huo likawekwa sharti la kuwa ni lazima wanufaika wafanye kazi za mikono ndipo watakapopata fedha za TASAF.

Hali hiyo imekuwa ni kama mateso kwa baadhi ya wasiojiweza hasa wazee ambao wanalazimishwa kufanya kazi ngumu kama uchongaji na utengenezaji wa barabara. Unawezaje kumbebesha kifusi mzee mwenye umri wa miaka 75, 80 wanabebeshwa Koleo na majembe ili wakatengeneze barabara ndiyo wapate fedha hizo.

Serikali imeshindwa kutengeneza barabara na sasa wanatumiwa wazee wasio na nguvu kutengeneza barabara ndiyo wapate hela za TASAF.

Huku ni kuhatarisha afya za wazee, serikali izuie wazee kufanyishwa kazi nzito kwa ndipo wapate fedha za TASAF ili kuzuia kudhoofisha afya zao.
 
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ulianzishwa kwa lengo la kunusuru kaya masikini na kusaidia wananchi wasiojiweza wakiwemo wazee.

Baada ya kufikiwa na mpango huo kwa baadhi ya wananchi waliopo kijiji cha Shibolya kilichopo wilaya na Mkoa wa Mbeya ulionekana kuwa msaada mkubwa katika kuzikwamua kaya masikini kiuchumi kutokana na ufanisi na mipango iliyokuwepo.

Mambo yalianza kubadilika taratibu baada ya kundi kubwa la wanufaika wa mpango huo kuanza kuondolewa na ili kurudishwa katika mpango huo likawekwa sharti la kuwa ni lazima wanufaika wafanye kazi za mikono ndipo watakapopata fedha za TASAF.

Hali hiyo imekuwa ni kama mateso kwa baadhi ya wasiojiweza hasa wazee ambao wanalazimishwa kufanya kazi ngumu kama uchongaji na utengenezaji wa barabara. Unawezaje kumbebesha kifusi mzee mwenye umri wa miaka 75, 80 wanabebeshwa Koleo na majembe ili wakatengeneze barabara ndiyo wapate fedha hizo.

Serikali imeshindwa kutengeneza barabara na sasa wanatumiwa wazee wasio na nguvu kutengeneza barabara ndiyo wapate hela za TASAF.

Huku ni kuhatarisha afya za wazee, serikali izuie wazee kufanyishwa kazi nzito kwa ndipo wapate fedha za TASAF ili kuzuia kudhoofisha afya zao.
Kapicha mkuu
 
Mkapa alienda Malawi kujifunza mpango huu !!Sasa alipoleta Tanzania viongozi wake wakajua ni ulaji kama kawaida !Tena mradi akapewa mchaga kama mkurugenzi😀😀 wachaga kama kawaida wakateuana viongozi wa nchi nzima yaani kuanzia taifa,mkoa,wilaya lazima huyo anayepokea fedha awe mchaga matokeo Yake huko mradi ukawa kama gagulo la kupiga fedha ,ngoja nipumzike _______ Huko Malawi wanafanya hivi fedha inaletwa kijijini halafu kijiji kinaitisha mkutano kwamba kuna mradi huu lengo lake ni kutuletea maendeleo hivyo Sisi kama wananchi tuungane kwenye kijiji chetu kuinua maendeleo,Kwa hiyo mradi umetoa shs 1000000 na Sisi tunatakiwa tuchangie nusu ya hiyo nguvu iliyotolewa that is Malawi.
 
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kuhusu mradi wa TASAF, ndiyo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia kaya maskini fedha (Wanaita ruzuku) Ingawa ni kiasi kidogo ambacho kwakweli hakiwezi kuiinua hiyo kaya maskini.

Mwaka 2020 TASAF wakaanza kutekeleza mradi mpya, miradi ya jamii ambayo inahusisha nguvu kazi. Ukiwa na maana ya kuwapatia ujuzi wahusika (Kaya maskini) pamoja na kuwaongezea kipato. Lakini katika utekelezaji wakawa na vigezo vyao ambavyo vinamuondoa mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, mgonjwa, mtoto (chini ya miaka 18), mjamzito na mtu mwenye ulemavu.

Vile vile kaya husika hazilazimishwi kufanya kazi pasipo hiari kama ndani ya kaya hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi.

Mfano wa barabara zinazo tengenezwa ama kukarabatiwa ni hizi njia za jamii (Zinazoelekea kwenye huduma ya kijamii, mfano kisimani, shambani, shuleni).

Kama inatekekelezwa tofauti basi itakuwa ni utashi walionao viongozi wao.
 
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kuhusu mradi wa TASAF, ndiyo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia kaya maskini fedha (Wanaita ruzuku) Ingawa ni kiasi kidogo ambacho kwakweli hakiwezi kuiinua hiyo kaya maskini.

Mwaka 2020 TASAF wakaanza kutekeleza mradi mpya, miradi ya jamii ambayo inahusisha nguvu kazi. Ukiwa na maana ya kuwapatia ujuzi wahusika (Kaya maskini) pamoja na kuwaongezea kipato. Lakini katika utekelezaji wakawa na vigezo vyao ambavyo vinamuondoa mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, mgonjwa, mtoto (chini ya miaka 18), mjamzito na mtu mwenye ulemavu.

Vile vile kaya husika hazilazimishwi kufanya kazi pasipo hiari kama ndani ya kaya hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi.

Mfano wa barabara zinazo tengenezwa ama kukarabatiwa ni hizi njia za jamii (Zinazoelekea kwenye huduma ya kijamii, mfano kisimani, shambani, shuleni).

Kama inatekekelezwa tofauti basi itakuwa ni utashi walionao viongozi wao.
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kuhusu mradi wa TASAF, ndiyo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia kaya maskini fedha (Wanaita ruzuku) Ingawa ni kiasi kidogo ambacho kwakweli hakiwezi kuiinua hiyo kaya maskini.

Mwaka 2020 TASAF wakaanza kutekeleza mradi mpya, miradi ya jamii ambayo inahusisha nguvu kazi. Ukiwa na maana ya kuwapatia ujuzi wahusika (Kaya maskini) pamoja na kuwaongezea kipato. Lakini katika utekelezaji wakawa na vigezo vyao ambavyo vinamuondoa mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, mgonjwa, mtoto (chini ya miaka 18), mjamzito na mtu mwenye ulemavu.

Vile vile kaya husika hazilazimishwi kufanya kazi pasipo hiari kama ndani ya kaya hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi.

Mfano wa barabara zinazo tengenezwa ama kukarabatiwa ni hizi njia za jamii (Zinazoelekea kwenye huduma ya kijamii, mfano kisimani, shambani, shuleni).

Kama inatekekelezwa tofauti basi itakuwa ni utashi walionao viongozi wao.

Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kuhusu mradi wa TASAF, ndiyo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia kaya maskini fedha (Wanaita ruzuku) Ingawa ni kiasi kidogo ambacho kwakweli hakiwezi kuiinua hiyo kaya maskini.

Mwaka 2020 TASAF wakaanza kutekeleza mradi mpya, miradi ya jamii ambayo inahusisha nguvu kazi. Ukiwa na maana ya kuwapatia ujuzi wahusika (Kaya maskini) pamoja na kuwaongezea kipato. Lakini katika utekelezaji wakawa na vigezo vyao ambavyo vinamuondoa mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, mgonjwa, mtoto (chini ya miaka 18), mjamzito na mtu mwenye ulemavu.

Vile vile kaya husika hazilazimishwi kufanya kazi pasipo hiari kama ndani ya kaya hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi.

Mfano wa barabara zinazo tengenezwa ama kukarabatiwa ni hizi njia za jamii (Zinazoelekea kwenye huduma ya kijamii, mfano kisimani, shambani, shuleni).

Kama inatekekelezwa tofauti basi itakuwa ni utashi walionao viongozi wao.

Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo kuhusu mradi wa TASAF, ndiyo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia kaya maskini fedha (Wanaita ruzuku) Ingawa ni kiasi kidogo ambacho kwakweli hakiwezi kuiinua hiyo kaya maskini.

Mwaka 2020 TASAF wakaanza kutekeleza mradi mpya, miradi ya jamii ambayo inahusisha nguvu kazi. Ukiwa na maana ya kuwapatia ujuzi wahusika (Kaya maskini) pamoja na kuwaongezea kipato. Lakini katika utekelezaji wakawa na vigezo vyao ambavyo vinamuondoa mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, mgonjwa, mtoto (chini ya miaka 18), mjamzito na mtu mwenye ulemavu.

Vile vile kaya husika hazilazimishwi kufanya kazi pasipo hiari kama ndani ya kaya hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi.

Mfano wa barabara zinazo tengenezwa ama kukarabatiwa ni hizi njia za jamii (Zinazoelekea kwenye huduma ya kijamii, mfano kisimani, shambani, shuleni).

Kama inatekekelezwa tofauti basi itakuwa ni utashi walionao viongozi wao.
Umeongea ukweli kabisa bro!
Upewe maua yakoo
Watu waache kubisha mambo wasiyoyaelewa......
 
Back
Top Bottom