Mbeya: Serikali Yafyeka Mahindi Ya Wananchi Kuzuia Yasifiche Vibaka

Mbeya: Serikali Yafyeka Mahindi Ya Wananchi Kuzuia Yasifiche Vibaka

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Serikali ya Mtaa Iyunga Mbeya Yafyeka Mahindi Ya Wananchi Kuzuia Yasifiche Vibaka.

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28],Hii nchi bhana,yaani huku bei ya mahindi imepanda kule wanafyeka mahindi ya watu kuogopa vibaka wakati polisi wapo,mgambo wapo DC yupo,RC yupo aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28],Hii nchi bhana,yaani huku bei ya mahindi imepanda kule wanafyeka mahindi ya watu kuogopa vibaka wakati polisi wapo,mgambo wapo DC yupo,RC yupo aisee
Enzi za Ngosha mabasi yalisafiri usiku tena polini bila bughudha!!
 
Ukitaka kulima nenda mashambani ni hatari sana kuwa na vichaka mijini, zamani wakati Serekali ikiwepo watu wote walijua Kupanda mahindi mijini ni kulinda ubakaji na uhalifu!! Tuwasihi wananchi wawe wapole Serekali irudi kazini!! Ni muhimu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28],Hii nchi bhana,yaani huku bei ya mahindi imepanda kule wanafyeka mahindi ya watu kuogopa vibaka wakati polisi wapo,mgambo wapo DC yupo,RC yupo aisee
Zingatia sheria ya mipango miji
 
'Export farming'. Pandeni mazao kwenye viroba. Chukua udongo wenye rutba from point A, jaza viroba then lima mazao yako bila bugdha.

This helps u to 'move around' with your crops and it reduces the 'need to weed out the weeds'.
 
Back
Top Bottom