Andras Mahenge
Member
- Aug 22, 2011
- 49
- 7
Leo kwenye Mkutano mkuu wa Chama cha CCM wamekipandisha hadhi kilichokuwa chuo cha ufundi Mbeya kisha taasisi ya Science na Technology hatimae Mbeya Universit of Science and Technology, Ni hatua nzuri sana kusikia hivyo hususani kwa sisi tuliosoma pale miaka ya 2002 kuendelea.Shida ni kukitunuku chuo kwenye Mikutano y'a Chama Cha siasa ,Sijui mnasemaje...? Shughuli za Serikali zikihusishwa kwenye Chama.