Wadau, chuo kikuu cha sayansi na teknolojia Mbeya kimeanzisha kozi mpya katika ngazi ya DIPLOMA katika mwaka wa masomo wa 2014/2015. Kozi hizo ni :- 1.Food science and Technology 2. Mechatronics Engineering 3. Mining Engineering 4. Telecommunication Engineering. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 15/05/2014. Kwa maelezo zaidi tembelea www.mist.ac.tz