Mbeya university of science and technology

Mbeya university of science and technology

De black

Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
52
Reaction score
0
Wakuu naomba mwenye taarifa ya lini chuo hiki kitatoa selectns za undergraduates pamoja na tareh ya kuripot tafadhal anijuze
 
Hata mi mdogo wangu kaomba hata hadi sasa wako kimya =, tuwe na subira
 
Majina bado.na join instruction.bado..cjui ni lini watatoa dat inf
 
Mbona kuna jamaa yangu kapata hapo must Beng electrical au we wazungumzia selection gani tena??
 
I mean majina na join instruction awajaweka kwa website yao..nami nimepangwa apo architecture
 
Jamani wakubwa, mwaka wa kwanza kuriport chuoni i mean MIST, uhakika ni lini, maake hawajaweka kwenye web yao!
 
Mi nmechaguliwa busness admin,ila cjajua join itakua ln?
 
Back
Top Bottom