Mbeya: Walimu Shule ya Sekondari ya Meta, wagoma kufundisha kudai mishaara

Mbeya: Walimu Shule ya Sekondari ya Meta, wagoma kufundisha kudai mishaara

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Walimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya miaka mitatu na kulia na ugumu wa maisha unaowakabili.

 
Walimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya miaka mitatu na kulia na ugumu wa maisha unaowakabili.
Hii jumuiya ndiyo ile anayoingoza Ally Hapoy?
 
Na wameambiwa wa hakikishe mama anarudi 2025 ..

Acha wakopwee kwanza penginepo akili zitafungukaa
FB_IMG_1728408122483.jpg
 
Duh kibaya zaid nakumbuka juz tu ile milion700 ya walipa kodi ni bora ingewalipa walimu au ingefanya maendeleo mengine! Hamasa kwa wachezaji sio mbaya pia sio lazma kutoa pesa nyng kiasi kile, hata Kuwaiti ikulu na kupata nao chakula na kuwapa posho kidogo ingefaa!! Haya sasa
 
Kuna kaka angu anataka ajira ya Ualimu, hao wanaogoma waache kazi ili kakaangu apate nafasi hapo mbeya.

Cc: Samia.
 
Ndugu Mtumishi, mshahara wako umetumika kuipongeza Taifa Stars. Tuonane mwezi Ujao.

Uzalendo Daima
 
Harwarwfu aalimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya miaka mitatu na kulia na ugumu wa maisha unaowakabili.

Harafu kenge wa kizmkazi anatubania pua,eti "TZ sio maskini, ni kwamba tumeshindwa kutumia rasilimali zetu vzr" Sasa baada ya miaka 60 ya kujitawala, bado ni omba omba, kwa kila kitu, kama huo sio umaskini ni nini? Motherfucker
 
Kwa msiyoijua shule hiyo, hii shule ilianzishwa enzi za ukoloni, enzi hizo mpaka baafa ya Uhuru ilikuwa ikiitwa N A (NATIVE AUTHORITY) MIDDLE SCHOOL. Shule hizi za serikali zilikuwepo karibu kila mkoa na zilikuwa na boding'i zikihusu darasa la tano mpaka la nane.
Miaka ya 80 CCM iliivhukua na kuifanya yake baada ya kushindwa kuiendesha shule yao ya TAPA iliyokuwa eneo la Mabatini. Mpaka baada ya Uhuru serikali ilikuwa na shule ya msingi Majengo, Mbata na Meta(wasichana) ambayo ilikuwa imeunganishwa na Loleza sekondari na baadae Meta ikahamishiwa Forest baada ya gereza la Luanda.
Utatata uliopo ni vipi CCM ilivyoweza kuinyakua hii shule kama ilivyonyakua viwanja vya mpira!
Mimi ninaishauri CCM iache kuing'ang'a hii shule huku ikitegemea kuchota mishahara toka serikalini na kuwalipa walimu, CCM inatuhujumu.
 
Back
Top Bottom