Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Hii jumuiya ndiyo ile anayoingoza Ally Hapoy?Walimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya miaka mitatu na kulia na ugumu wa maisha unaowakabili.
Wale waliomchangia mama fomu ya urais ni akina naniNa wameambiwa wa hakikishe mama anarudi 2025 ..
Acha wakopwee kwanza penginepo akili zitafungukaaView attachment 3158111
Hivi kwanini anakwangua ndevu zoote anamaana gani?Na wameambiwa wa hakikishe mama anarudi 2025 ..
Acha wakopwee kwanza penginepo akili zitafungukaaView attachment 3158111
Na ni IslamicHivi kwanini anakwangua ndevu zoote anamaana gani?
Harafu kenge wa kizmkazi anatubania pua,eti "TZ sio maskini, ni kwamba tumeshindwa kutumia rasilimali zetu vzr" Sasa baada ya miaka 60 ya kujitawala, bado ni omba omba, kwa kila kitu, kama huo sio umaskini ni nini? MotherfuckerHarwarwfu aalimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya miaka mitatu na kulia na ugumu wa maisha unaowakabili.