Mbeya: Wanachama 7 wa CHADEMA walioswekwa Rumande waachiwa huru

Ccm iko I C U
 
Mungu ibariki CHADEMA [emoji1545]
 
Kisha utasikia mijitu isio na akili ikimsifia Magufuli, kitu katili na lenye roho mbaya sana. Mungu ashukuriwe
 
..majina na picha zao tafadhali.

..Ni vizuri wakajitokeza hadharani na kueleza dhuluma waliyotendewa.

..wawe na ujasiri wa kueleza mkasa wao kama alivyofanya Mdude Nyagali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…