Mbeya: Wanachama 7 wa CHADEMA walioswekwa Rumande waachiwa huru

Usimseme vibaya Balozi wetu amekwenda kututafutia soko la vidole gumba Zimbabwe!!!
 
Kisha utasikia mijitu isio na akili ikimsifia Magufuli, kitu katili na lenye roho mbaya sana. Mungu ashukuriwe
Kama vipi jinyonge, maana umeandika kwa hasira za kupasuka. Kima wee!
 
Waende kufanya kazi kufidia siku walizopoteza
 
Mungu wetu yu mwema, mapambazuko yanakaribia
 
..majina na picha zao tafadhali.

..Ni vizuri wakajitokeza hadharani na kueleza dhuluma waliyotendewa.

..wawe na ujasiri wa kueleza mkasa wao kama alivyofanya Mdude Nyagali.
Kuna video nyingi mno za mapokezi yao uraiani , wameongea maneno mazito mno , ngoja tujaribu kuweka hapa
 
Uzuri Mtesaji mkubwa Kalala Chato
 
Ibilisi joka kuu aliyesababisha madhila yote haya dua zetu ziwe kwake aendelee kuchomeka.
 
Ibilisi joka kuu aliyesababisha madhila yote haya dua zetu ziwe kwake aendelee kuchomeka.
Shetani kwa mujibu wa maandiko kwenye biblia alishafungwa minyororo huko kuzimu hadi siku ya kiyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…