Pre GE2025 Mbeya: Wananchi Wajazana kusoma Bango la Utekaji kwenye maonesho ya Nanenane

Pre GE2025 Mbeya: Wananchi Wajazana kusoma Bango la Utekaji kwenye maonesho ya Nanenane

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huko Mbeya kama ilivyo kila Mahali Tanzania kuna kilele cha Maonesho ya Wakulima au maonesho ya Nanenane.

Pamoja ni bidhaa mbali mbali za kilimo ikiwemo vifaa vyake kama Matreka kuonyeshwa, kivutio kikubwa ni Bango lenye maelezo ya Utekaji, Watu wengi wamejazana mahali lilipo bango hilo, hasa ikizingatiwa kwamba yule Kijana aliyelipa faini kwa tuhuma za kuchoma picha ya Rais Samia , Ametekwa na hajulikani alipo huku tetesi zikisema Wamemuua.

Bango lenyewe hili hapa

Labda kwa wasio na Miwani hili bango limeandikwa hivi, Nanukuu "ABDUL AKITEKWA SAMIA ATAKAA KIMYA?" Mwisho wa Kunukuu.

Screenshot_2024-08-08-17-16-00-1.png

1000030258.jpg
 
Huko Mbeya kama ilivyo kila Mahali Tanzania kuna kilele cha Maonesho ya Wakulima au maonesho ya Nanenane.

Pamoja ni bidhaa mbali mbali za kilimo ikiwemo vifaa vyake kama Matreka kuonyeshwa, kivutio kikubwa ni Bango lenye maelezo ya Utekaji, Watu wengi wamejazana mahali lilipo bango hilo, hasa ikizingatiwa kwamba yule Kijana aliyelipa faini kwa tuhuma za kuchoma picha ya Rais Samia , Ametekwa na hajulikani alipo huku tetesi zikisema Wamemuua.

Bango lenyewe hili hapa

View attachment 3064651
Mkuu umenipiga picha na mimi nimevaa shati jeupe na timberland
 
Back
Top Bottom