Pre GE2025 Mbeya: Wananchi Wajazana kusoma Bango la Utekaji kwenye maonesho ya Nanenane

Pre GE2025 Mbeya: Wananchi Wajazana kusoma Bango la Utekaji kwenye maonesho ya Nanenane

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu mbona unataka kututoa kwenye reli? Lisu katuambia rushwa ya uchaguzi inakitafuna chama; hiyo ndiyo ajenda tunajadili sasa hivi.
 
Huko Mbeya kama ilivyo kila Mahali Tanzania kuna kilele cha Maonesho ya Wakulima au maonesho ya Nanenane.

Pamoja ni bidhaa mbali mbali za kilimo ikiwemo vifaa vyake kama Matreka kuonyeshwa, kivutio kikubwa ni Bango lenye maelezo ya Utekaji, Watu wengi wamejazana mahali lilipo bango hilo, hasa ikizingatiwa kwamba yule Kijana aliyelipa faini kwa tuhuma za kuchoma picha ya Rais Samia , Ametekwa na hajulikani alipo huku tetesi zikisema Wamemuua.

Bango lenyewe hili hapa

Labda kwa wasio na Miwani hili bango limeandikwa hivi, Nanukuu "ABDUL AKITEKWA SAMIA ATAKAA KIMYA?" Mwisho wa Kunukuu.

abduli ndiyo nani ?
 
..utekaji hauwezi kufanyika bila Mwenyekiti wa Ccm kuubariki.

..Na utekaji upo kwasababu Ccm wanaamini unawasaidia.
Ukiona kiongozi wa chama tawala anatoa matamshi yenye uvundo akijinasibu kujua kuteka lakini mwenyekiti wake akikaa kimya bila kukemea ujue ni mkakati wa chama .
 
Back
Top Bottom