Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Utaomba maji na hatukupiHuyo Mamluki nilimuignore kitambo sana, hana akili
Tunaiomba JF ihakikishe mtu tuliyemuignore hawezi kuona hata tunachoandika humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaomba maji na hatukupiHuyo Mamluki nilimuignore kitambo sana, hana akili
Tunaiomba JF ihakikishe mtu tuliyemuignore hawezi kuona hata tunachoandika humu
Sukuma gang ndiyo wanaendesha utekaji ili kumchafua mama Samia.kwa yanayoendelea Magufuli alisingiziwa. mama ni mbariki utekaji na mauaji
Mbona yeye mwenyewe hapingi?Sukuma gang ndiyo wanaendesha utekaji ili kumchafua mama Samia.
Kumbe sukuma gang bado wapo?Sukuma gang ndiyo wanaendesha utekaji ili kumchafua mama Samia.
Walienda wapi?Kumbe sukuma gang bado wapo?
abduli ndiyo nani ?Huko Mbeya kama ilivyo kila Mahali Tanzania kuna kilele cha Maonesho ya Wakulima au maonesho ya Nanenane.
Pamoja ni bidhaa mbali mbali za kilimo ikiwemo vifaa vyake kama Matreka kuonyeshwa, kivutio kikubwa ni Bango lenye maelezo ya Utekaji, Watu wengi wamejazana mahali lilipo bango hilo, hasa ikizingatiwa kwamba yule Kijana aliyelipa faini kwa tuhuma za kuchoma picha ya Rais Samia , Ametekwa na hajulikani alipo huku tetesi zikisema Wamemuua.
Bango lenyewe hili hapa
Labda kwa wasio na Miwani hili bango limeandikwa hivi, Nanukuu "ABDUL AKITEKWA SAMIA ATAKAA KIMYA?" Mwisho wa Kunukuu.
Ukiona kiongozi wa chama tawala anatoa matamshi yenye uvundo akijinasibu kujua kuteka lakini mwenyekiti wake akikaa kimya bila kukemea ujue ni mkakati wa chama ...utekaji hauwezi kufanyika bila Mwenyekiti wa Ccm kuubariki.
..Na utekaji upo kwasababu Ccm wanaamini unawasaidia.
Inawezekana enzi za JPM aliuratibu vizuri kumchafua ili achukiwe yeye kumbe kikulacho kinguoni mwako!!!Huo utekaji umefanyika kwenye awamu ipi mkuu, mana kwa taarifa kutoka chademani ni Mama anaupiga mwingi
Nilidhani wamemalizwa na mama kuupiga mwingi!Walienda wapi?