Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu umenipiga picha na mimi nimevaa shati jeupe na timberlandHuko Mbeya kama ilivyo kila Mahali Tanzania kuna kilele cha Maonesho ya Wakulima au maonesho ya Nanenane.
Pamoja ni bidhaa mbali mbali za kilimo ikiwemo vifaa vyake kama Matreka kuonyeshwa, kivutio kikubwa ni Bango lenye maelezo ya Utekaji, Watu wengi wamejazana mahali lilipo bango hilo, hasa ikizingatiwa kwamba yule Kijana aliyelipa faini kwa tuhuma za kuchoma picha ya Rais Samia , Ametekwa na hajulikani alipo huku tetesi zikisema Wamemuua.
Bango lenyewe hili hapa
View attachment 3064651
Hatari hiyoHata. Hapa Songea kuna upotevu wawatu kadhaa ..utekaji wakimya kimya si mtoto si wakubwa
Nisamehe sana, vita havina machoMkuu umenipiga picha na mimi nimevaa shati jeupe na timberland
Sijui itakuwaje tu yaani, watu wakiona kitambi changuNisamehe sana, vita havina macho
Kwa Tanzania mwalimu mwenye kitambi ndio mwenye mshahara mkubwaSijui itakuwaje tu yaani, watu wakiona kitambi changu
Lakini mimi sio mwalimuKwa Tanzania mwalimu mwenye kitambi ndio mwenye mshahara mkubwa
Au ni katibu kata?Lakini mimi sio mwalimu
Amna, mimi ni mtu ambaye nikiajiriwa sipelekeshwi, yaani boss anakuwa na uhitaji na mimi kuliko boss wakeAu ni katibu kata?
Noma sana!kwa yanayoendelea Magufuli alisingiziwa. mama ni mbariki utekaji na mauaji
kwa yanayoendelea Magufuli alisingiziwa. mama ni mbariki utekaji na mauaji
Hakika!..utekaji hauwezi kufanyika bila Mwenyekiti wa Ccm kuubariki.
..Na utekaji upo kwasababu Ccm wanaamini unawasaidia.
Hakika!
Samia mnamuonea bure... ccm imeshindwa kulete mapinduzi sasa inateka watu ili kuwanyamazishakwa yanayoendelea Magufuli alisingiziwa. mama ni mbariki utekaji na mauaji
Samia anasema ni Drama..kila siku wanaotekwa ni wapinzani, halafu kuna watu wanataka tuamini Ccm haihusiki.
Nani katoa taarifa hii Toka Chadema?Huo utekaji umefanyika kwenye awamu ipi mkuu, mana kwa taarifa kutoka chademani ni Mama anaupiga mwingi
Huyo Mamluki nilimuignore kitambo sana, hana akiliNani katoa taarifa hii Toka Chadema?