Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui inakuwaje hadi wananchi wanachekelea kung'olewa kwa kiongozi ?Hao wote kesho utasikia wapo ndani na aliyefanya hiyo tafrija hakuomba kibari kwahiyo atatiwa ndani kwa kosa la kuhatarisha usalama wa wengine kwa kufanya shughuli bila kibari.
Kosa jingine nikushawishi na kutoa taarifa ya uchochezi ya uongo kusema OUT wakati bado IN
Mungu ni mwema wakati wote
Hata siwaoni wananchi hapo!! Sisi tunamkaribisha sana Mwanza jiji la samaki na madini kibao aje akutane na wachapakazi wa Kanda ya Ziwa. Hongera Mh. Chalamila kwa kupanda cheo kuja RC Mwanza.
kadakwa na hela za madafu bilion 3 kutokana na kuwaibia wafanyabiasharaLakini zile Ndafu za kufukuzwa Ole Sabaya zilitaka kuniua na vile Vinywaji
Wafanyabiashara warudishiwe fedha zao kila mmoja si anajua kiasi alichodhulumiwakadakwa na hela za madafu bilion 3 kutokana na kuwaibia wafanyabiashara
Mkuu.. lilivyokufa li-herode aiseee kwangu ilikua ni shangwe kuu..Lakini zile Ndafu za kufukuzwa Ole Sabaya zilitaka kuniua na vile Vinywaji
Wewe utakufa lini mbwa koko?Mkuu.. lilivyokufa li-herode aiseee kwangu ilikua ni shangwe kuu..
Naona na kaburi wamezungushia mabati kabisa yani hata akifufuka apate shida kutoka.
Ndiyo wewe mwenye mzigo wa wigi? Offer zenyewe soda za 500
Ni aibu kubwa sana kwa Kiongozi kudhalilishwa na wananchiNdiyo wewe mwenye mzigo wa wigi? Offer zenyewe soda za 500
Habari ndio hiyoMaisha yanaenda kasiiiiiiiii Sana ndugu zanguni!
😂😂😂😂