Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

Duh! Sasa watoto wamekosa nini hapo jamani? Wamewachinja? Mbona nchi yangu nimeanza kuiogopa sasa? Wananchi wenye hasira kali wanachinja watoto jamani duh!
 
Mirembe watapelekwa viongozi wako

POLISI LAZIMA WAMALIZE HUU UPUUZI , nyie kenge mkiachiwa mtasababisha uvunjifu wa amani
Tatizo la polisi wana njaa na wanendekeza rushwa.Integrity yao imeshuka sana na hawana uzalendo kabisa.Ndio maana mambo kama haya yanaendelea kwa kasi ya ajabu.Mungu aihurumie hii Nchi ya Tanzania.
 
Kinachotokea sasa Ni ishara tosha kuwa muda si mrefu wananchi wataamua Kwa hasira na jazba na huenda Hali ikachafuka sana.
 

Mzee daftari wameshambiwa sio ombi ni haki yako ni haki yangu ni haki yakila mwananchi
 
Ni ishara mbaya sana watu kujichukulia sheria mkononi haipendezi,ni wajibu wa vyombo husika kuwajibika tusiruhusu siasa mufilisi kuleta maafa,
 

Kwa hili aliyefanya hiko kitendo amefanya makosa makuubwa sana kwa hao viumbe wasiokuwa na hatia! Huwezi kukausha mti kwa kukata matawi!
 
Haya sasa! Juzi ni Jijini Mwanza leo ni huko jiji Mbeya. Kazi ipo jamani!

kesho itakua ni arusha maana na wenyewe ndo mchezo wao wa kuuza viwanja kwa mtu zaid ya mmoja. ila ni bora kuchukua hatua za kisheria kuliko kufanya unyama kama huu
 
Ndugu Lukosi, hivi hapo chadema wamehusikaje tena? mbona hujaonesha ushiriki wao katika tukio hili ili tuone jinsi gani chadema ni hatari kama unavyodai? ukomavu wa sura na mwili unapaswa kuakisi ukomavu na kupevuka kwa AKILI pia. watu wazima, vijana kabisa mnakua na mihemko ya kitoto tena ya kikekike? mtakomaa lini? Get matured.
 

kwa kuongezea tu mkuu huyu jamaa kulingana na heading yake anatakiwa aisaidie polisi, inaonekana anawafahamu wauaji na chanzo cha mauaji!!!!!!!!
 
Jamani kuna mwingine anayeweza verify hii habari? Nina shaka na namna ilivyoletwa hapa jamvini.
 
Hii haikubaliki. Serikali ichukue hatua madhubuti. Ardhi ni bomu linalosubiriwa kupasuka.
 
ufisadi mmbaya ndugu zangu....
 

Uwezo wako wa kufikili ni mdogo sana, huwezi kuleta siasa ktk mauaji ambayo wauaji hawajulikani. Au sababu ulizozitoa umepewa na HAP wauaji, ama wewe pia unahusika? Tafakali. Tuachie Tunduma yeti.
 

kwakweli hapo maamuzi walioyachukua daaah cjui walikuwa wanatumia ------ kufikiri mi nadhan serikari ichukue hatua inaonekana mateja wanazidi kuongezeka kila kukicha......IKIWA NA WALE WANAOSAPOTI ILI TUKIO!
 
"Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" na "Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu" mauaji ya kisesa~Mwanza na huko Mbeya ni dhahiri kuwa sasa wanyonge wamechoswa na tabia ya watawala kujimilikisha ARDHI na VIWANJA.
 
Sishabikii kifo wala mauaji lakini kwa haya yanayowatokea hawa wanachama wa CCM inawezekana kabisa ni malipo kwani pale watoto wadogo walipouawa kwa bomu pale Soweto Arusha inwezekana watu kama hawa walilishabikia tukio lile na kuona kama wale watoto walijitakia na wao hawakujua ya mbele. Poleni sana wafiwa ni vema sasa tukajifunza kuishi kibinaadamu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…