Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

Huu ujinga sio wa kuuchekea. Hawa wapumbavu wanaofanya hivi wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja. Matukio haya ni mageni nchini kwetu. Tuyakemee kwa nguvu zote.
 
Sishabikii kifo wala mauaji lakini kwa haya yanayowatokea hawa wanachama wa CCM inawezekana kabisa ni malipo kwani pale watoto wadogo walipouawa kwa bomu pale Soweto Arusha inwezekana watu kama hawa walilishabikia tukio lile na kuona kama wale watoto walijitakia na wao hawakujua ya mbele. Poleni sana wafiwa ni vema sasa tukajifunza kuishi kibinaadamu zaidi

Acha kushabikia ujinga.
 
Hao wauwaji wamekosea kuwauwa watu wasiokuwa na hatia ni jambo baya sana dhambi kubwa kwa kosa alilofanya mtu halafu malipo yake alipwe mwingine,ushauri wangu nikuwa wangemlipa muhusika au kwa yule anaeshirikiana nae kumpa huo ushindi wa kimahakama,hata hakimu mwingine hatothubutu kufanya dhulma ya kumpa ushindi mtu ambae ni dhulma na hao wapo kabisa huyo ndio mgemalizana nae kwanza.
 
Where is peace? 7bu kubwa ya wa2 kujichukulia sheria mkononi ni mamlaka kushindwa kutenda haki na kushindwa kutimiza wajibu wake. Hakika 2naelekea kubaya mno kama jamii. Ee Mungu uturehemu.
 
Unadhani hiyo ndio dawa? hakuna amani bila HAKI kutendeka.na bado subirini kiama chenu mizigo kama hakutakuwa na UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA,hakika mtajibeba na mtambue kuwa tumechoka kuburuzwa na hicho chama chenu cha MIZIGO! She3nzzzz tayipu

Chadema nyie kila jambo baya mnafurahia! Hivi huyo mtoto wa kazi angekuwa ndugu yako ungesemaje? Kila kitu we unafanya ni mtaji wa kisiasa, hata vifo, kwako ni siasa! Ndio mnataka kutawala nchi nyinyi! Kila atakayewapinga nyie mtakuwa mnaua tu! Kifupi sijaona chama cha kijinga kama chadema!
 
Huko ndiko chadema wanakotupeleka

Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya

NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.

PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa

Kwa kweli, sasa nimeamini wewe una matatizo makubwa sana ya kiakili. Chadema hapa wametoka wapi???
 
Uwezo wako wa kufikili ni mdogo sana, huwezi kuleta siasa ktk mauaji ambayo wauaji hawajulikani. Au sababu ulizozitoa umepewa na HAP wauaji, ama wewe pia unahusika? Tafakali. Tuachie Tunduma yeti.
Usiwe mjinga Tunduma inaingiaje hapa, au humfahamu Diwani wa Tunduma.

Swala limetokea Kata ya Mkingamo na diwani ni wa ccm, Tunduma Diwani ni wa Chadema.

Ungekua na akili kidogo ungeshauri serikali yako sikivu iliangalie upya swala la migogoro ya ardhi.

Hivyo usisahau Mahakama ndio chanzo cha yote haya....ukiangalia migogoro mingi inasababishwa na mahakama kuminya haki za wanyonge.

Kwa pamoja tukemee upindishaji wa haki za wanyonge kwenye mahakama zetu.!!
 
Wanatekeleza amri ya waziri mkuu "Wapigwe tu'tumechoka!.by pinda
 
Huu ujinga sio wa kuuchekea. Hawa wapumbavu wanaofanya hivi wakamatwe na kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja. Matukio haya ni mageni nchini kwetu. Tuyakemee kwa nguvu zote.

Hilo ndilo la maana.
 
Mkuu Balantanda nashukuru kwa mwongozo wako.!!
 
Last edited by a moderator:
Usiwe mjinga Tunduma inaingiaje hapa, au humfahamu Diwani wa Tunduma.

Swala limetokea Kata ya Mkingamo na diwani ni wa ccm, Tunduma Diwani ni wa Chadema.

Ungekua na akili kidogo ungeshauri serikali yako sikivu iliangalie upya swala la migogoro ya ardhi.

Hivyo usisahau Mahakama ndio chanzo cha yote haya....ukiangalia migogoro mingi inasababishwa na mahakama kuminya haki za wanyonge.

Kwa pamoja tukemee upindishaji wa haki za wanyonge kwenye mahakama zetu.!!
Mkuu Idawa...

Hebu tuweke records sawa mkuu...

Ni kweli mtoto aliyechinjwa ni wa Diwani wa Kata ya Nkangamo kwa tiketi ya CCM...

Tukio halijatokea Nkangamo kama unavyodai, tukio limetokea jana mchana eneo la TAZARA jirani na hoteli ya UKINGA Hill ambao Diwani huyo anaishi na hata msiba upo huko na taarifa zilizopo ni kwamba huyo mtoto atazikwa kesho Chipaka ambako Diwani huyo anatokea na binti wa kazi anazikwa leo huko Isansa - Mbozi...

So tukio limetokea TAZARA Tunduma na si Nkangamo kama unavyodai...

Na mpaka sasa wauaji hawajulikani ni akina nani maana walivizia wazazi hawapo nyumbani na wao ndio wakatekeleza unyama wao huo kwa watoto wasio na hatia...

Bala.
 
hapana siwez kulaum ccm ata siku moja! hao wananchi wamelaaniwa kabsaa! kwan kukata taw la mti ndo kuua mti kirahis?
 
Mkuu @Balatanda nashukuru kwa mwongozo wako.!!

Tupo pamoja sana mkuu...

Msiba huu unanigusa kwa namna fulani japo nipo mbali na eneo la tukio..

Inasikitisha sana kuona watoto wasio na hatia wanauawa kinyama hivi...
 
Una uhakika gani ni CHADEMA ndiyo wamechinja?

Ninalaani sana kuuawa kwa Watoto wasio na hatia. Hata Mafia huwa wanapinga sana kuuwa Watoto na Wanawake.

Wangelimvizia na kumkata Mikono yake au Miguu na kumpa chongo ya jicho moja.

Ila wanasema, Don't blame the Player, blame the game.

Sisi tunasema VITA HAINA MACHO.

RIP watoto mliobeba Msalaba wa Baba yenu muovu aliyedhurumu watu kama Chris Lukosi alivyodhurumu Rambirambi za Mwangosi aliyeuawa na POLISI ambao yeye anajivunia, mbele ya watu na waandishi wa habari mchana kweupee.

tashwila-ya-kukatisha-tamaa-ya-mauaji-ya-mwandishi-wa-habari.jpg


Hapo juu, rafiki zake Lukosi wakiwa Kazini kuwadhibiti Chadema. Lukosi is Proud of them. Ndiyo maana hata Rambirambi hagoma kuzifikisha.
Huko ndiko chadema wanakotupeleka

Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya

NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.

PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa
 
Chris Lukosi Wewe ndiye mtu hatari sana.Hakuna mtu hatari kama mtu asiye na uwezo wa kupambanua mambo na mwenye ushabiki wa kijinga.Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufurahia wala kuunga mkono tukio la namna hii kwa vile hawa ni watoto,malaika wa Mungu,wasio husika kwa vyovyote na yanayojiri au yaliyo jiri.In short hawa ni innocents hawastahili kudhuriwa kwa sababu iwayo yote ile.Ila wewe mtu mzima uliye kosa uwezo wa kufikiri mpaka unataka kuhusisha chadema na tukio hili kwa sababu tu ya kuridhisha nafsi yako,bila ushahidi wowote na bila hata kutoa ufafanuzi kwanini unasema hivyo.....wewe ni hatari zaidi! Martin Luther King, Jr. aliwahi kusema na hapa nanukuu "Nothing in the world is more dangerous than a sincere ignorance and conscientious stupidity"
 
Last edited by a moderator:
Makamanda wa CHADEMA jifunzeni kuweka tofauti za kiitikadi pembeni linapokuja suala la msiba.
 
huo ni ujumbe tosha kwa huyo diwani kwamba BADO YEYE-- baada ya watoto kuuawa, itafuata zamu yake--hili ni funzo zuri sana kwa mafisadi wenye tabia kama zake.
 
Back
Top Bottom