Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.
Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani
Hiyo nayo ni akili?
Wakapimwe mirembe hao
Siasa zisitupeleke huko jamani
Wee mbulumundu tu kama viongozi wako
Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.
Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
Wee mbulumundu tu kama viongozi wako
Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.
Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
unaonekana kama unafurahia vile. watoto hao wasio na hatia wanahusika vipi. halafu unaweka na ushabiki wa kivyama. kwa kweli nakuona kama taahira kufurahia upumbavu huu. so sad kwa watoto wasio na hatia. masikini.Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.
Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani
Wee mbulumundu tu kama viongozi wako
Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.
Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
Kwa polisi hapa uchunguzi ni rahisi sanaUmekua mwili akili ndogo! hapo kwenye hii story ya kusikitisha Chadema inaingiaje?
Wee mbulumundu tu kama viongozi wako
Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.
Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
Hiyo nayo ni akili?
Wakapimwe mirembe hao
Siasa zisitupeleke huko jamani
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.
Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani
Msitumie misiba ya watu kama mtaji wa kisiasa,Una uhakika gani ni CHADEMA ndiyo wamechinja?
Ninalaani sana kuuawa kwa Watoto wasio na hatia. Hata Mafia huwa wanapinga sana kuuwa Watoto na Wanawake.
Wangelimvizia na kumkata Mikono yake au Miguu na kumpa chongo ya jicho moja.
Ila wanasema, Don't blame the Player, blame the game.
Sisi tunasema VITA HAINA MACHO.
RIP watoto mliobeba Msalaba wa Baba yenu muovu aliyedhurumu watu kama Chris Lukosi alivyodhurumu Rambirambi za Mwangosi aliyeuawa na POLISI ambao yeye anajivunia, mbele ya watu na waandishi wa habari mchana kweupee.
Hapo juu, rafiki zake Lukosi wakiwa Kazini kuwadhibiti Chadema. Lukosi is Proud of them. Ndiyo maana hata Rambirambi hagoma kuzifikisha.