Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

Mbezi kuna nini mbona matukio..sasa hivi itabidi kila asubuhi niwe 'nagoogle' mbezi Ili kupata matukio ya kibabe.
 
Daaaahhhhh kweli siku zote kuingia ni rahic sana ila kutoka sasa ni mtihani mgumu kama huamini ingia kwenye kuvuta bangi afu utoke........
 
Ifikie hatua Serikali ifanyie kazi sheria zake kikamilifu bila kuangalia kama mtenda kosa ni mwamamke au mwanaume... La sivyo tunakoelekea ni kubaya!
Hapo zitaletwa sababu za kisaikoloji zitasomwa page saba mahakamani za hukumu zimajeaa neno 'saikoloji effect' and mental 'disfunction' ha ha ha
 
Tuko sawa kabisa ndoa hailazmishwi,wanaume wangapi wamegharamia elimu za madem wako na kuachwa...wangeamua kulipiza ingekuaje
 
Kulikuwa na haja gani ya kuandika kabila la huyo mwanamke?

Alafu bila picha huu ni umbea tu!
Ili tujue tuweze kuassess!! Kufanya vituko vya ajabu na kikatili vinaendana sana na kabila la mtu aliyefanya tukio!!!
 
Wakurya nao wameanza hizi visa za kuchoma nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…