mbezi beach kunatukio la kusikitisha.

mbezi beach kunatukio la kusikitisha.

Inyogote

Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
5
Reaction score
0
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama wa mwanaume na dada wa mwanaume wamekuja na kumfukuza nyumbani kwake huyo mzazi kwa madai kwamba wameshapata mwanamke anaye endana na kaka yao,ninacho omba mimi wana jf tufanye nini ili huyu dada hapate haki yake.
 
Ingekuwa vizuri kama Moderator angeisogeza hii sehemu inayohusika. Hapa ni sehemu ya Photos.
 
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama wa mwanaume na dada wa mwanaume wamekuja na kumfukuza nyumbani kwake huyo mzazi kwa madai kwamba wameshapata mwanamke anaye endana na kaka yao,ninacho omba mimi wana jf tufanye nini ili huyu dada hapate haki yake.
Labda ni vema kufahamu ni haki gani hasa anayohitaji ili wenye maarifa wajue namna ya kumsaidia
 
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama wa mwanaume na dada wa mwanaume wamekuja na kumfukuza nyumbani kwake huyo mzazi kwa madai kwamba wameshapata mwanamke anaye endana na kaka yao,ninacho omba mimi wana jf tufanye nini ili huyu dada hapate haki yake.


IDARA YA USTAWI WA JAMII
Majukumu Yake Katika Kulinda, Kutekeleza
na Kuendeleza Haki za Binadamu
http://chragg.go.tz/docs/p_info/1/Ustawi wa Jamii Kiswahili FINAL.pdf
 
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama wa mwanaume na dada wa mwanaume wamekuja na kumfukuza nyumbani kwake huyo mzazi kwa madai kwamba wameshapata mwanamke anaye endana na kaka yao,ninacho omba mimi wana jf tufanye nini ili huyu dada hapate haki yake.

Mkuu huku ni kwenye mapicha tu!!! Sasa wengine ambao tunataka kuona mapicha itakluwaje!! Moderators do the needful...
 
Mwambie aende Kariakoo jengo la SUWATA karibu na shule ya uhuru wasichana kuna wanasheria msaada wa wanawake na watoto wanaitwa TAWLA ofisi zao zilikuwepo hapo sina hakika kama bado zipo hapo lakini hata kama zime hama akifika hapo watamwelekeza waliko hamia hao hizo ndizo kazi zao haswaa
 
tukio lenyewe nikwamba kijana mmoja alikuwa anaishi na mke wake bahati nzuri mungu kawajalia kupata mtoto na mtoto wamempata kwa mama kufanyiwa opration yenyewe ajamaliza hata mwezi cha ajabu mama wa mwanaume na dada wa mwanaume wamekuja na kumfukuza nyumbani kwake huyo mzazi kwa madai kwamba wameshapata mwanamke anaye endana na kaka yao,ninacho omba mimi wana jf tufanye nini ili huyu dada hapate haki yake.
Huyo jamaa ndio lofa... Anaruhusuje huo upuuzi
 
Back
Top Bottom