maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Kutokana na ukweli kwamba stendi ya kimataifa imehamia mbezi na kwamba ndio njia pekee ya kuingia jijijini kwa mikoa yote ya nyanda za juu,kanda ya ziwa na kanda ya kati. Basi kuna kila sababu kuifanya mbezi iwe nzuri na ya kipekee.
Nchi zote za kusini mwa Afrika zinaingia jijini kupitia njia hii,hivyo Mbezi inatakiwa iwe ya kushangaza kwa uzuri na si kushangaza kwa uholela kama ilivyosasa mabanda hadi katikati ya barabara...vyoo vya mabati,vilabu vya pombe vya mabati, maskani za mateja,mamantilie n.k.
Hii ni aibu kubwa mno sehemu muhimu kama hii kuwa na miundombinu mibovu na holela kiasi hiki.
Mbezi inatakiwa mtu akifika aseme kweli nimeingia Dar es salaam, flyover za maana,malls za kutosha, gardens,biashara zenye mpangilio mzuri,sky scraper za kutosha na kila aina ya mbwembwe hadi mtu akifika apotee kwanza kisha ndio ajitafute.
Mbezi ya sasa ni aibu tupu kwa wenyeji na zaidi kwa wageni. Juhudi za makusudi zifanyike kupainua
Mifuko ya kijamii iliyokuwa na projects za kujenga majengo marefu wapewe ruhusa maalum kwa ajili ya kuijenga Mbezi.
Sio hadi wazungu waje watusaidie kufikiri vitu vidogo kama hivi. Juhudi za makusudi zifanyike
Nchi zote za kusini mwa Afrika zinaingia jijini kupitia njia hii,hivyo Mbezi inatakiwa iwe ya kushangaza kwa uzuri na si kushangaza kwa uholela kama ilivyosasa mabanda hadi katikati ya barabara...vyoo vya mabati,vilabu vya pombe vya mabati, maskani za mateja,mamantilie n.k.
Hii ni aibu kubwa mno sehemu muhimu kama hii kuwa na miundombinu mibovu na holela kiasi hiki.
Mbezi inatakiwa mtu akifika aseme kweli nimeingia Dar es salaam, flyover za maana,malls za kutosha, gardens,biashara zenye mpangilio mzuri,sky scraper za kutosha na kila aina ya mbwembwe hadi mtu akifika apotee kwanza kisha ndio ajitafute.
Mbezi ya sasa ni aibu tupu kwa wenyeji na zaidi kwa wageni. Juhudi za makusudi zifanyike kupainua
Mifuko ya kijamii iliyokuwa na projects za kujenga majengo marefu wapewe ruhusa maalum kwa ajili ya kuijenga Mbezi.
Sio hadi wazungu waje watusaidie kufikiri vitu vidogo kama hivi. Juhudi za makusudi zifanyike