[emoji23][emoji23][emoji23] wanakula raha au sio..Jamaa na mama mkwe wake wanafanya watakavyo,wakati wao huu.
Sana. Umenikumbusha mbali.Nakei Nairobi... Nakei Nairobi.. nakei Nairobi secretarybird unaijua hii
Kama haitoshi chukua hii ilikusudi siku yako iwe poa.Nakei Nairobi... Nakei Nairobi.. nakei Nairobi secretarybird unaijua hii
Namkubali sana mbilia sema Kenya wanamkubali haipiti mwaka bila kwenda huko, kwenye carnivalSana. Umenikumbusha mbali.
Nshai download mkuu..... Thank youKama haitoshi chukua hii ilikusudi siku yako iwe poa.
Here we go.
Waafrica wanaunganishiwa Rufiji, Waziri anatuona hatujitambui!!Mohammed Mchengerwa alisema dhamira ya Tamasha hili kuwaunganisha wa africa sababu Bibi Titi amezaliwa Tanzania lakini ni wa waafrica wote
Hata samba mapangala alikuwa hivyo hivyo.Namkubali sana mbilia sema Kenya wanamkubali haipiti mwaka bila kwenda huko, kwenye carnival
Nimetuma wakusalimie.......Hata samba mapangala alikuwa hivyo hivyo.
Very good πNimetuma wakusalimie.......
Baruaa pia nimetuumaa usomee.....
Nikiwa nikitembea aah mara kwa mara
Hukumbuka mapenzi yetu vipi Marina...
Hahahaha appreciate it bruhVery good π
Kama hutojali tupia na wimbo ule wa kiswazi "hata uwe wa shetani rudisha roho mama, tumsifu mungu baba ooooh hata mara moja"Kama haitoshi chukua hii ilikusudi siku yako iwe poa.
Here we go.
Nadina ndyo jina la wimbo wa mwanamama Mbilia BelKama hutojali tupia na wimbo ule wa kiswazi "hata uwe wa shetani rudisha roho mama, tumsifu mungu baba ooooh hata mara moja"
Nadina....πΌπΌπΆπΆπΆNakei Nairobi... Nakei Nairobi.. nakei Nairobi secretarybird unaijua hii
Msanii Mkongwe wa Muziki wa Rhumba Africa Mwana Mama Mbill Abel @mbilia.bel amewasili Tanzania kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi Memorial Festival ambalo linafanyika Ikwiriri Rufiji Mkoa wa Pwani lilianza Dec 12 na litamalizika kesho Dec 14 mmoja wa Coordinator wa Tamasha hilo @anania_junior amesema Mbill Abel amekuja kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi mwaka Jana Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohammed Mchengerwa alisema dhamira ya Tamasha hili kuwaunganisha wa africa sababu Bibi Titi amezaliwa Tanzania lakini ni wa waafrica wote.