Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah Nadina auweke basi tusikie vionjo vyakeNadina....🎼🎼🎶🎶🎶
YeahHahahaha appreciate it bruh
Kuna wimbo wanaimba........ SHETANI NA MAMA MKWE WAKE , WAMEKALIA MISUMARIJamaa na mama mkwe wake wanafanya watakavyo,wakati wao huu.
Nakei Nairobi... Nakei Nairobi.. nakei Nairobi secretarybird unaijua hii
Japokuwa ninao kwenye simu lakini umenikumbusha vilevile. marehemu babu yangu alikuwa ananiambia unatakiwa uoe mwanamke wa hivi sasa mzuri sura hadi sauti DaaahSana. Umenikumbusha mbali.
Nakei Nairobi, po na salisa DuniNakei Nairobi... Nakei Nairobi.. nakei Nairobi secretarybird unaijua hii
Aseeh uko vizuri......Nakei Nairobi, po na salisa Duni
Nakei Nairobi;
Na ko zonga na Duni
Hasa mzee hizi oldies always zimejaa kwenye simu hapa ......Long tym sana ,umenikumbusha mbali sana.....
Yep ngoja nimwite kijana wangu secretarybird tunataka nadinaNadina....🎼🎼🎶🎶🎶
Watanzania mnaboronga hata kuandika na majina ya watu pia? Huyu mwanamama anaitwa Mbilia Bel si Mbilia Abel, mnaboa jamani.Msanii Mkongwe wa Muziki wa Rhumba Africa Mwana Mama Mbill Abel @mbilia.bel amewasili Tanzania kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi Memorial Festival ambalo linafanyika Ikwiriri Rufiji Mkoa wa Pwani lilianza Dec 12 na litamalizika kesho Dec 14 mmoja wa Coordinator wa Tamasha hilo @anania_junior amesema Mbill Abel amekuja kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi mwaka Jana Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohammed Mchengerwa alisema dhamira ya Tamasha hili kuwaunganisha wa africa sababu Bibi Titi amezaliwa Tanzania lakini ni wa waafrica wote.
Huyu mama si alitajwa kutaka kumhujumu Mwl. NyerereTamasha la Bibi Titi Memorial Festival ambalo linafanyika Ikwiriri Rufiji Mkoa wa Pwani lilianza Dec 12 na litamalizika kesho Dec 14 mmoja wa Coordinator wa Tamasha hilo @anania_junior amesema Mbill Abel amekuja kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi mwaka Jana Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohammed Mchengerwa
Nani huyo bibi titi au Mbilia Bel ?Huyu mama si alitajwa kutaka kumhujumu Mwl. Nyerere
Bibi Titi, kuna sehemu niliona imeandikwa alishiriki uhainiNani huyo bibi titi au Mbilia Bel ?