Mbinguni sio salama, ni propaganda tu!

Namba 2: alikuwa akifanya na mkono wake (nyeto). Hata sasa wale ambao hawajampata Eva wao bado wanaendelea na nyeto (hata humu wamo) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mungu alikuwa anampiga chabo Adam akaona huyu fala anaweza amalize mkono au kadudu kake akaamua kwa haraka amtafutie utelezi wa uhakika ambao hautamaliza dudu. Inaonekana Adam alikuwa anaelekea kubaya Mungu akaona afanye fasta amchomoe ubavu badala ya kuhangaika kukata fito ya kumtengeneza Eva. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Najaribu kufikiri na kugundua kuwa Eva ni matokeo ya mchangiko wa malighafi za dunia na Edeni. Kupitia Ubavu wa Adamu, Eva alijipatia malighafi za dunia(udongo) na kupitia malighafi zingine zilitoka pale pale Edeni"

πŸ˜…πŸ˜… eti kupata malighafi ahah mwanamke na mwanamume ni mwili mmoja hakuna malighafi ya eden kama unavodai .adam kwenye mwili wake akatokea hawa hakuna maada kwa mwanamke ipo kwa mwanamume isiwepo.

lucifer humchukia sana ADAM (alif dam) kiumbe dhaifu kupewa milki kubwa kuliko viumbe vyote . lucifer anafocus kumyharibu mwanamume kwa kumtumia mwanamke hata leo
 
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS VICHWA VYA WATU VIMEJAA MBALIMBALI NA KATHALIKA


UTAWALA WA CHAMA KIMOJA ILIKUWA KUORDER TU

1. ATEMBEE UCHI

2. FUKUZA KAZI

3. CHANA NGUO

4. LAZIMA ANIPENDE MIMI SIYO YULE

5. HATAKIWI KUOA/KUOLEWA

6. AFIKIRISHWE UJAMAA PEKEYAKE

7. HAFIKIRI TENA

8. TUNATAKA MOYO

9.TUNATAKA INI

10. ERROR TERM


WATU WANATEKELEZA KWA SABABU NI RAHA KUWA KARIBU NA KIONGOZI
 
Toka pori ili uandike vizuri kamanda. Hivo hutaeleweka, mwandiko hausomeki vizuri.
 
Ukichanganya sayansi na mambo ya dini utachanganyikiwa.Kwa hesabu rahisi tu chukua biblia soma vizuri toka Adamu awepo utagundua dunia toka iumbwe haijafikia hata miaka elfu kumi.

Ukija kwenye sayansi Dinosaurs walitoweka miaka milioni sitini iliyopita ukiunganisha na Adam alikuwa hajaja dunia hii.

Dini na sayansi zinachanganya mfano wewe unaambiwa tulikuwa nyani dini haisemi hivyo.Ila tofauti ya dini na sayansi ni kwamba kwenye dini ni kuamini lakini sayansi inakuwa na proofs.Ila nimekupata ulivyosema Adamu aliumbwa viumbe vingine vikiwa vimetoweka mimi sipingi mada yako ila kuchanganya sayansi na dini tabu sana
 
Mke wa kwanza wa Adam Ni lilyth sio hawa
 
Kwanini unadhani Edeni haikuwa duniani? Geogfia ya edeni inayoelezewa kwenye kitabu cha mwanzo ni ya duniani.

Kwahiyo argument yako yote inapoteza maana.

Edeni haikuwa duniani ndivyo hivyo Mkuu.

Adamu alipoumbwa dunainia akachukiliwa akapelekwa Edeni, huko ndio akapewa masharti ya kutokula Tunda. la ujuzi wa mema na mabaya. Kisha akafukuzwa baada ya kula.

Kama unafikiri Edeni Ipo Iraq, nenda Iraq wakuoneshe hata hilo eneo linalokisiwa lilikuwa Edeni, Halipo.
 
Alipelekwaje huko eden

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alipelekwaje huko eden

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Mwanzo 2:15-22 SRUVDC​

''BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, β€œMatunda ya kila mti wa bustani waweza kula, Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.”

Alivyopelekwa ndivyo alivyofukuzwa
 
mleta mada ya CHADEMA yamekushinda unahamia kwa MUNGU huko hukuwezi utakufa na huo ukimwi ulionao

Wewe chagua tu wabunge,madiwani na Raisi wa CCM

Karibu burudani ya Mungu mwachie mwenyewe



Hahahah! Mkuu umechanganyikiwa au?

Unafikiri nipo kwenye siasa muda wote kama wewe?

Mimi sio CHADEMA wala hiyo CCM yako. Ila nina umuhimu mkubwa kwenye hiyo CCM na Hiyo CHADEMA.
 
Inafikirisha sana mada hii
 

Mwili mmoja lakini malighafi tofauti, bado hujaelewa?
 
USALAMA WA MBINGUNI BADO NI MDOGO

Na, Robert Heriel

Akili yangu inaenda nisikokujua inafikiri hivi, huenda Aliyemuumba Adamu siye aliyemuumba Hawa. Kwa nini ninafikiri hivi? Pengine niseme sijui. Embu tuone.

Tatizo limeanzia hapo. Hujui akili yako inakokupeleka
 
Mwanzo 4: 16
Ndipo Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova na kukaa katika nchi ya Ukimbizi upande wa mashariki wa Edeni.

(hii ni baada ya Adam kutimuliwa eden)
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nabii
 
Tazama kila kilichoumbwa ni chema sana, perfect. Halafu wakati huo anasema sio vyema huyu jamaa akae peke yake, nitamfanyia msaidizi.

Damn it! Dini haitaki tafakuri, unaweza kuachana nayo kama haupo makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…