Mbinguni sio salama, ni propaganda tu!

ACHA KUPOTOSHA WATU WEWE UNAONEKANA HATA UNACHO ONGEA HUNA HAKIKA NACHO JE WAJUA EDENI IKO WAPI TUANZIE HAPO BAADA YA VITA KUU KUTOKEA MBINGUNI NDIPO SHETANI NA MALAIKA WAKE WALITUPWA DUNIANI AMBAPO MWANADAMU WA KWANZA ALIUMBWA HUMO NA PIA EVA AKAFUATA WOTE WAKIWA KATIKA BUSTANI YA EDENI NA SHETANI AKAMJIA EVA KWA UMBILE LA NYOKA HAPA TUNAONA SHETANI ALITUPWA DUNIANI NA AKAMTOKEA EVA KWA UMBILE LA NYOKA HIVYO INAMAANISHA BUSTANI YA EDEN ILIKUWAPO DUNIANI NA MUNGU YUPO KILA MAHARI NA UWEZA WAKE UPO KILA MAHALI ILA KAANDAA MAKAZI YA WATOTO WAKE AMBAO WALIIFUATA SHERIA YAKE NA MUNGU YUPO MBINGUNI KWENYE KITI CHAKE CHA ENZI
 

Huyo aliyepo mbinguni ni Yehova Mkuu, na aliyepo akhera sijui peponi ni Allah HAO ni miungu tuu.

Mungu Mkuu Hana Anuani, anaishi pote katika yote.

Kusema MUNGU anakiti cha Enzi ni kukufuru, na matusi ya wazi Kabisa.
 
Huyo aliyepo mbinguni ni Yehova Mkuu, na aliyepo akhera sijui peponi ni Allah HAO ni miungu tuu.

Mungu Mkuu Hana Anuani, anaishi pote katika yote.

Kusema MUNGU anakiti cha Enzi ni kukufuru, na matusi ya wazi Kabisa.
Basi sawa ni mtizamo wako
 
viumbe wote hao walikuwa madume na majike.

Iweje kwa binadamu kuwe na mkwamo na kusua sua kwa uumbaji kiasi hicho?
Mwanamke wa kwanza aliye kuwa na Adamu alikuwa Lilithi!! lkn alikuwa na kipondo si cha kawaida! alikuwa anamtia vitasa Adamu, Mbishi, mnoko! kwa tabia hizi alimuasi Adamu!

Adamu akalalamika akarudi kwa Mungu kuomba tena ndo akapewa Hawa/eva mlaini! laini!...mpaka leo ndo hawa hawa!
 
Huyo aliyepo mbinguni ni Yehova Mkuu, na aliyepo akhera sijui peponi ni Allah HAO ni miungu tuu.

Mungu Mkuu Hana Anuani, anaishi pote katika yote.

Kusema MUNGU anakiti cha Enzi ni kukufuru, na matusi ya wazi Kabisa.
Heri,

Mosi, Aliyeumba yaani Mungu Baba rejea 1korintho 15:24-28 ambaye ndiye CHANZO HALISI aliumba Mbingu na nchi na sio Dunia na ulimwengu rejea mwanzo 1:1, Dunia na ulimwengu ni mfumo wa maisha unaoendesha maisha ya watu Kila siku uliotokana na miungu mbalimbali lakini halikuwa kusudi la muumba.

Pili, aliyetuumba hakuwa mbinguni Bali mahali pake na hakuna aliyekuwa anapajua ukirejea Mika 1:2-3 "Sikilizeni, enyi watu wa kabila zote; sikiliza, Ee dunia, na vyote vilivyomo; Bwana MUNGU na ashuhudie juu yenu, yeye Bwana kutoka hekalu lake takatifu. 3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka MAHALI PAKE, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka."

tatu, Mbinguni kulikuwa na kitu kingine tofauti rejea yeremia 44:17-18 "Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18 Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa."

Pia huyo malkia wa mbinguni utamkuta katika ufunuo 12:1 "Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili." Huyo malkia wa mbinguni ndie alikuwa anatawala hata shetani au ibilisi haoni ndani kwa huyo ndie aliyekuwa ameteka uumbaji.huo mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili ni mada ndefu inayohitaji Uzi wake.

Hitimisho
Aliyetuumba alimuumba Adam na Hawa ndani ya bustani ya Edeni na alimpa mtu mamlaka kubwa kuliko viumbe vyote kabla ya Ibilisi kuja kumdanganya Adam na Hawa rejea Zaburi 8:4-6 "Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie? 5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima; 6 Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake."
 
...Umeruhusu Mawazo Yako kuona Halali kwenye Haramu. Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…