Nampikia ananipikia, namfulia ananifulia, ananipa moyo nampa moyo, ananipenda nampenda, ananipa raha nampa raha n.k
Hatuishi kama washindani sie!!
Umesahau anakununulia unamnunulia, anakulipia unamlipia. Hii muhimu sana.
definiton ni ya Mungu siyo mimi..................tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala.............akianza kutokosa maharagwe huyo tayari umemtawala hana sifa ya to be a real man.....................
Hiyo title tu "Mbinu za kumdhibiti...." nilijua kuwa hapa nitapingana nawe. Kwa nini umdhibiti. Ikiwa unampenda, anakupenda - mnapendana - tena kudhibitiana kuna haja gani?
Kwanza hapa waombe samahani dada wanaosaidia kazi za nyumbani. Hilo jina lilishaacha kutumiak enzi za utumwa
Napinga hiyo red kwani kwa mawaz yangu ni kuwa "furaha ya ndoa ni kutegemeana". Ahadi zenu zilikuwa "kukaa naye kwa raha na shida, uzima na ugonjwa...mpaka kifo kitakapowatenganisha". Ikiwa mwanamme "must" kutomtegemea mwanamke hata ikiwa wakati wa shida na ugonjwa, hiyo ahadi ingesomeka vyema kama ingekuwa "kukaa naye kwa raha na uzima...mpaka shida na ugonjwa utakapowatenganisha."
Kwenye familia yangu tangu wadogo, wanaume na wanawake tulifunzwa kufanyakzi na kusaidiana katika mtindo wa hukutwanga huli, haikuwekwa kutafuta na kuchanja kuni, kutwanga na kukosha vyombo ni jukumu la msichana. Hata msichana alipoumwa au kutokuwepo, wavulana tuliingia jikoni. Leo niko mkubwa, kamwe sitokka na njaa au kula nje kwa kusubiri mke aje kunipikia.
Aidha, tulipokuwa JKT, wasichana na wavulana tulishirikiana kwa kila kitu, iweje leo nibadilike kwa sababu nimeoa. Kwanza huu msamiati wa kuoa/kuolewa haupo kwangu, ni KUOANA kwa maana ya kukubaliana.
Nambari 9 tayari imeshapata msemaji. Kama ni kweli ulivyoitetea baadaye, isahihshe, ondoa neno hadharani kwani linakupa ruhusa ya kumpiga na kumnyanyasa faraghani.
Mimi wangu nitamsaidia kwa yote uliyosema nisitie mkono. Na hata hilo la ujauzito ambalo kweli ndio nature (mengine yote tunajipangia hakupanga Muumba), akijifungua ninamsaidia malezi ikiwemo kuadilisha mtoto nepi, kufua mikojo na mavi. Kamwe sitomwamsha dada wa kazi amshughulikie mtoto usiku, na mkewangu ndio kabisaaaaa, alishachukua jukumu nilisiloweza kulibeba mimi wakati wa ujauzito, kwa hivyo kumbebesha mengine nikiwa na mikono miwili...hapo nitakubali majirani waseme. I'll do it for the sake of my kids, for the sake of my lifemate.
mie 9 ndio naisimamia siku zote..
Sure!! Nikiwa kwenye mizunguko nikaona kitu kizuri kinachomfaa namnunulia, sirudi baadae kumwambia "naomba unirudishie kiasi fulani cha pesa" though wapo wanaoishi hivyo. Yani he is mine and i'm his, kwakua kila mmoja anampenda na kumjali mwenzake hatuoni tabu kusaidiana majukumu yetu kila inapowezekana.
Nikisema bado tunayo kazi ya kumuelewa mungu vizuri watu hanielewi.
Sasa angalia, kwenye kitabu hicho hicho ulicho quote kuna mahali Ibrahimu alitembelewa na wageni nyumbani kwakwe na yeye ndiye aliyewaandalia chakula na alisimama pembeni akisubiri kuondoa vyombo.
Kwa hiyo na yeye alikuwa hajui sheria za mungu au alikuwa kaolewa?
Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupisha kutoka kwenye hii makala ya
Donts for husbands
1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............
2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................
amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............
Sure!! Nikiwa kwenye mizunguko nikaona kitu kizuri kinachomfaa namnunulia, sirudi baadae kumwambia "naomba unirudishie kiasi fulani cha pesa" though wapo wanaoishi hivyo. Yani he is mine and i'm his, kwakua kila mmoja anampenda na kumjali mwenzake hatuoni tabu kusaidiana majukumu yetu kila inapowezekana.
The Boss usisahau na namba 8 zinahusiana moja kwa moja. The Boss
Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupisha kutoka kwenye hii makala ya
Donts for husbands
1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............
2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
Asiendeshe kabisaaaa hata kama ukiwepo akitaka anunue lake(4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
(5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
kama babu lina mabomba mvua na yale mabwawa ya bafuni, nayo niyabebeje?