Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
mhh mikono ya mwanamke ndo imekaa kupika na kufua?
kuwa realistc kwa maisha ya sasa wote twaenda porini kusaka maua mazuri ssa iweje tena utake mkeo aawe mjakaz?ITAKUWA AUJAMPENDA BALI UMEOA ILI AWE MTUMWA...
Kwali Rose1980,
Mke wangu mie ni my best friend, siyo beki 3, kibarua wala mjakazi...kama nilimbwata basi mimi nimekuwa overdosed!!
Babu DC!!