Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
1. Kesi za kubumba kama vile ugaidi, uhaini, kukamatwa na madawa ya kulevya, uhujumu uchumi n.k.
2. Kufunga watu bila kesi zenye mashiko (detention without trial - kumbuka mashehe wa Zanzibar);
3. Makosa ya mtandaoni na faini kubwa kubwa. TCRA ni agent wao mkubwa wa ukandamizaji.
4. Kutangaza watu si raia ili washindwe kuendelea kupigania haki;
5. Kuwanyang'anya leseni za biashara mawakili na kuwabambikiza kodi kubwa wafanya biashara;
6. Kuzuia mikutano, makongamano na maandamano kinyume na katiba. Wakati mwingine watu huambiwa wazi wakiandamana watavunjwa miguu au kuuliwa
7. Kutisha viongozi wa vyama kupitia ofisi ya msajili wa vyama na IGP
8. Kutumia ugaidi wa dola na uhalifu unaofadhiliwa na dola
9. Kutumia tume isiyo huru na kuing'ang'ania iendelee kusimamia uchaguzi
10. Kutetea katiba ya mwaka 1977 ili waendelee kuchakachua matokeo kupitia mamlaka makubwa ya rais.
2. Kufunga watu bila kesi zenye mashiko (detention without trial - kumbuka mashehe wa Zanzibar);
3. Makosa ya mtandaoni na faini kubwa kubwa. TCRA ni agent wao mkubwa wa ukandamizaji.
4. Kutangaza watu si raia ili washindwe kuendelea kupigania haki;
5. Kuwanyang'anya leseni za biashara mawakili na kuwabambikiza kodi kubwa wafanya biashara;
6. Kuzuia mikutano, makongamano na maandamano kinyume na katiba. Wakati mwingine watu huambiwa wazi wakiandamana watavunjwa miguu au kuuliwa
7. Kutisha viongozi wa vyama kupitia ofisi ya msajili wa vyama na IGP
8. Kutumia ugaidi wa dola na uhalifu unaofadhiliwa na dola
9. Kutumia tume isiyo huru na kuing'ang'ania iendelee kusimamia uchaguzi
10. Kutetea katiba ya mwaka 1977 ili waendelee kuchakachua matokeo kupitia mamlaka makubwa ya rais.