Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
sio hivyo mkuu wengine hatuna uwezo wa kuwanunulia IST hawa warembo..mkweche wa baiskeli yenyewe unantushindaBT seems like umewashusha vyeo makamanda wakuu kuwa hawawez kutoa ist,wote mahohehae au [emoji23] [emoji23]
Labda useme hivyo bosshapo mkuu tulikua tunataniana
hapo mkuu tulikua tunataniana
hapo mkuu tulikua tunataniana wenyewe binafsi
wamekupata wangapi mpaka sasa?Labda unakuwa wakipekeee..
akija atakukananimempata Mimi mkuu
hahaangoja aje mkuu
Sijui nirushe ndoano[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mimi hanipatiii
Usiniaibishe bana chamdekoSiku nikijua unafake lazima nikuabisheee .
Alafu mm ndo maaana nimeamua kuolewa na mtu ambaye amejiweka open siyo hawa wa kujificha nyuma ya keybord
Unaweza kutana na mwanaume sijui yupoje hafanani na comment wala thread zakee aisee unaishiwa pozi.
Uko mbioni kunasa kwenye rada yangu.....Napita kama hivi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Cha mdeko Demiss mbona wanisema hivyo, nihurumie, nifichie aibu, aubu ya mwenzio ni aibu yako pia.....[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Aiseee kuna mtu mmoja hapa Id yake ni balaaa nikajua ewaaaaaaah
Uwiiii siku namuona akiiii alikula kibut cha mbavuu sikuamin yani ni kibwengo plus upopomaaaa
Itakuwa hizi ndo mbinu zakeeee kabisaa loooh na mm nasema tu polee yalee hakuna namna mm nisingeweza msura kama indiketa za toroli.
Miss You Too,ntakutafta My
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa kaka akee
Mkuu Vp Tena Kulikoni ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naona aibu banaSijui nirushe ndoano[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona aibu bana