Mbinu 6 za kumpata mwanamke JF

Duh! Wengine hatuna bahati ya kupendwa hata kama tungejichetua je? Kwa kisingizio cha hii rangi ya kizungu wanataka wanaume Black bahati mbaya ublack haununuliwi dukani ningenunua na mimi nipendwe.
 
Kama huna pesa huna tu kwanza mademu wa Jf wame.....[emoji87] [emoji23]
 
Demiss hujazaa ww bado....mind your words.[emoji20]
 
Ooooh!
Kumbe mahondaw na Demiss ndio walivyonaswa na wale majamaa zao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…