Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
la nyokaUnaishi pori gani?
Kuna miti inatoa harufu inayowafukuzaWakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani.
Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Hilo pori unalokaa ngoja tuje kuchimba madini hao nyoka wataondoka.Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Fuga kuku wa kienyeji na paka wataifanya kazi hiyo bila wewe kujua.Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Nlikua nasubiri hii comment nafikir hii ndo njia rahisi zaidiPanda Mchaichai kuzunguka nyumba kama hakuna Fensi
Choma Tairi la Gari au Pikipiki au Baiskeli walau Mara moja kwa mwezi hawapendi ile harufu wanaikimbia
Mwaga Oil chafu kuzunguka nyumba, wengine wameshauri ichanganywe na diesel, au Mafuta taa, au petroli.
Mwaga chumvi malangoni pako, hakuna nyoka atakatiza hapo.
Mwaga oil chafu kuzunguka nyumba.Hii ni zaidi ya sumu mkuu.Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Otesha michaichai karibu na mlangoni. Katika harufu nyoka hapendi ni ya Mchaichai (Lemon grass)Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!