BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Nabi Ball Nabi Tactics.
* Yanga iliingia na system ya 4-2-3-1 ,wakati iliingia na system ya 4-4-2 .
* Kwenye 4-2-3-1 Yanga wali win kwenye eneo la kiungo kwasababu 4-2 ya Coastal Union ilishindwa kuipress vizuri Yanga kuanzia Katikati mwa uwanja na mbaya zaidi Coastal Walishindwa kuweka pressure kwenye Miguu ya Fei Toto.
* Kitendo cha Coast union kushindwa kuweka pressure kwa Fei Toto kikaifanya Yanga kupata foward pass nyingi kwenye eneo hilo na breaking line pass ambazo zikawa tatizo kwa Coast Union angalia pasi ya Fei Toto kwa Moloko iliuvunja mstari wa Katikati mwa na mstari wa mwisho wa back four na kusababisha goli.
* Kitendo cha Nabi Kuanza na wachezaji wanaokimbia pembeni(Athletic Players) kilimaanisha kuwa anataka kasi pembeni ya uwanja kwa ajili ya kupasua mstari wa mabaeki nne wa Caostal Union.
* Plan hiyo kipindi cha Kwanza ilifanikiwa kwasababu ya mikimbio ya Moloko na Morrison kwenye flanks zote.
* Makambo kama muda mwingi angekuwa hana mikimbio nje ya boski huenda angefaida na plan ya Yanga kupita pembeni.
* Baada ya Nabi Kugundua hilo akamuingiza Mayele ambaye alienda kuweka pressure kwa half backs wawili wa Coast Union Muda mwingi wa mchezo na mwisho siku kufunga goli.
* Coast Union plan yao ya kukaa nyuma ya mpira dhidi ya Nabi ball ilishindwa ku work out kwasababu Yanga waliufungua uwanja pembeni.
Note.
* Feisal leo ame dictate sana mechi katikati mwa uwanja.what a player[emoji119].
* Mshery Somo kwa makipa wa Kibongo kazi ya kipa sio kudaka tu,makipa wa kisasa ni washambuliaji wannahusika katikati kuanzisha mashambukizi
* Yanga wanacheza mechi ya 39 ya ligi Tanzania Bara bila kufungwa.wha a team[emoji119]
* Coastal kwasasa ni vibonde wa Yanga mechi tatu zote za ligi hivi karibuni wamefungwa magoli saba na kupoteza alama 9.
Credit: Omar Kombo
* Yanga iliingia na system ya 4-2-3-1 ,wakati iliingia na system ya 4-4-2 .
* Kwenye 4-2-3-1 Yanga wali win kwenye eneo la kiungo kwasababu 4-2 ya Coastal Union ilishindwa kuipress vizuri Yanga kuanzia Katikati mwa uwanja na mbaya zaidi Coastal Walishindwa kuweka pressure kwenye Miguu ya Fei Toto.
* Kitendo cha Coast union kushindwa kuweka pressure kwa Fei Toto kikaifanya Yanga kupata foward pass nyingi kwenye eneo hilo na breaking line pass ambazo zikawa tatizo kwa Coast Union angalia pasi ya Fei Toto kwa Moloko iliuvunja mstari wa Katikati mwa na mstari wa mwisho wa back four na kusababisha goli.
* Kitendo cha Nabi Kuanza na wachezaji wanaokimbia pembeni(Athletic Players) kilimaanisha kuwa anataka kasi pembeni ya uwanja kwa ajili ya kupasua mstari wa mabaeki nne wa Caostal Union.
* Plan hiyo kipindi cha Kwanza ilifanikiwa kwasababu ya mikimbio ya Moloko na Morrison kwenye flanks zote.
* Makambo kama muda mwingi angekuwa hana mikimbio nje ya boski huenda angefaida na plan ya Yanga kupita pembeni.
* Baada ya Nabi Kugundua hilo akamuingiza Mayele ambaye alienda kuweka pressure kwa half backs wawili wa Coast Union Muda mwingi wa mchezo na mwisho siku kufunga goli.
* Coast Union plan yao ya kukaa nyuma ya mpira dhidi ya Nabi ball ilishindwa ku work out kwasababu Yanga waliufungua uwanja pembeni.
Note.
* Feisal leo ame dictate sana mechi katikati mwa uwanja.what a player[emoji119].
* Mshery Somo kwa makipa wa Kibongo kazi ya kipa sio kudaka tu,makipa wa kisasa ni washambuliaji wannahusika katikati kuanzisha mashambukizi
* Yanga wanacheza mechi ya 39 ya ligi Tanzania Bara bila kufungwa.wha a team[emoji119]
* Coastal kwasasa ni vibonde wa Yanga mechi tatu zote za ligi hivi karibuni wamefungwa magoli saba na kupoteza alama 9.
Credit: Omar Kombo