a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Mbinu mbalimbali zinazoweza kutumika kupunguza /kuokoa gharama zisizo za lazima katika ujenzi.
1)MBADALA WA TANK LA KUHIFADHIA MAJI.
Naanza na hii ,maeneo yetu mengi maji yanatoka kwa mgao wa mara moja kwa juma hivyo utalazimika uhifadhi maji kwa ajili ya kazi yako ya ujenzi.
Njia hii ni kutengeneza mbadala wa tenki/karo ya kuhifadhia maji kwa ujazo unaotaka wewe lita 2000L,300L n.k
Mbinu ,unatumia tofali zako zilizopo site kwa ajili ya kazi ya ujenzi,unatumia kwa muda unazipanga kwa kuzilaza juu ya nyingie kutengeneza mfano wa kujenga kuta pande nne (mfano wa karo.) Halafu unalaza turubai water proof isiyoruhusu maji kupenya ikifunika sakafu ndani ya hizo kuta nne mpaka eneo la ndani ya hizo kuta nne ulizozitengeneza kwa kusimamiaha tofali tupu,bila kujengea na simenti na mchanga.
FAIDA
Utakuwa umeokoa kiasi kikubwa cha fedha wastani wa zaidi ya shilingi laki 5 , fedha ambayo ungetumia kwa kukodi au kununua mapipa au majaba au tenki (vyombo vikubwa vya kuhifadhia maji) lakini hapa utakuwa umetumia elfu 15 tu ya turubai,mana tofali utakazitumia ni baadhi ya sehemu ndogo ya zile zilizoko site kwako.
NAKARIBISHA MBINU NYINGINE zinazoweza kutumika kusaidia tunaoanza kujenga kwa kuunga unga masikini wenzangu,ku save gharama,kupunguza gharama zisizonza lazima kwenye hatua yoyote ya ujenzi.
picha chini-hapo amehifadhi kati wastani wa maji lita 2000-3000 kwa makadirio hapo angenunua tenk ni kati ya laki 3 mpaka 5 .
na hata kama angekodi gharama ingezidi hiyo 15,000 aliyotumia kununulia turubai.
Na hata kama angenunua mapipa au majaba bei ingezidi ,kwenye ujenzi hata ukisevu laki moja ni kubwa .
1)MBADALA WA TANK LA KUHIFADHIA MAJI.
Naanza na hii ,maeneo yetu mengi maji yanatoka kwa mgao wa mara moja kwa juma hivyo utalazimika uhifadhi maji kwa ajili ya kazi yako ya ujenzi.
Njia hii ni kutengeneza mbadala wa tenki/karo ya kuhifadhia maji kwa ujazo unaotaka wewe lita 2000L,300L n.k
Mbinu ,unatumia tofali zako zilizopo site kwa ajili ya kazi ya ujenzi,unatumia kwa muda unazipanga kwa kuzilaza juu ya nyingie kutengeneza mfano wa kujenga kuta pande nne (mfano wa karo.) Halafu unalaza turubai water proof isiyoruhusu maji kupenya ikifunika sakafu ndani ya hizo kuta nne mpaka eneo la ndani ya hizo kuta nne ulizozitengeneza kwa kusimamiaha tofali tupu,bila kujengea na simenti na mchanga.
FAIDA
Utakuwa umeokoa kiasi kikubwa cha fedha wastani wa zaidi ya shilingi laki 5 , fedha ambayo ungetumia kwa kukodi au kununua mapipa au majaba au tenki (vyombo vikubwa vya kuhifadhia maji) lakini hapa utakuwa umetumia elfu 15 tu ya turubai,mana tofali utakazitumia ni baadhi ya sehemu ndogo ya zile zilizoko site kwako.
NAKARIBISHA MBINU NYINGINE zinazoweza kutumika kusaidia tunaoanza kujenga kwa kuunga unga masikini wenzangu,ku save gharama,kupunguza gharama zisizonza lazima kwenye hatua yoyote ya ujenzi.
picha chini-hapo amehifadhi kati wastani wa maji lita 2000-3000 kwa makadirio hapo angenunua tenk ni kati ya laki 3 mpaka 5 .
na hata kama angekodi gharama ingezidi hiyo 15,000 aliyotumia kununulia turubai.
Na hata kama angenunua mapipa au majaba bei ingezidi ,kwenye ujenzi hata ukisevu laki moja ni kubwa .