Mbinu mpya kwa wenye nyumba ndogo

Du kweli wanaume wakware mna mimbinu.
Je utafanyeje siku nyingine ukinogewa hadi kulala huko?
Njia ya muongo ni fupi wahenga walisema.
 
Mtarajiwa huyo alifariki kwenye ajali si unajuwa wa kwenu na kwenda mlimani kila mwezi ?

mkuu, hashycool yuko na michelle sku hizi, yule mwarabu nilham tunaweza tukalembea ndoana tu. au unasemaje?
 
mkuu, hashycool yuko na michelle sku hizi, yule mwarabu nilham tunaweza tukalembea ndoana tu. au unasemaje?

dini yangu inaruhusu saba,,,,,,ninamiliki gobole la kuulia tembo sasa jilengeshe uone
 
dini yangu inaruhusu saba,,,,,,ninamiliki gobole la kuulia tembo sasa jilengeshe uone
mkuu hii sredi haukutakiwa kuifungua wewe. sheria za JF zinasema hauruhusiwi kushiriki two sredz at ze same time. mPM invizibo kuomba razi kabla hajaona hii.
 
mkuu, hashycool yuko na michelle sku hizi, yule mwarabu nilham tunaweza tukalembea ndoana tu. au unasemaje?
Mkuu nilikuaminia sana mbona umenichonganisha na TF ? BACK TO TOPIC; mimi na waarabu hapana mi ni wachagga tu na nimeona upenyo hapa kwa lizzy sichezi mbali lol!
 
Mkuu nilikuaminia sana mbona umenichonganisha na TF ? BACK TO TOPIC; mimi na waarabu hapana mi ni wachagga tu na nimeona upenyo hapa kwa lizzy sichezi mbali lol!
hehe sjakuchonganisha mkuu, nilikuwa naokoa uhai wa jamaa, si unajua sku ile alikuwa ICU sasa ikabidi nisimpe ukweli. angekufa tungeshtakiwa halaf garama za mazishi zingelikuja kwetu. think! uporoto think!
 
hehe sjakuchonganisha mkuu, nilikuwa naokoa uhai wa jamaa, si unajua sku ile alikuwa ICU sasa ikabidi nisimpe ukweli. angekufa tungeshtakiwa halaf garama za mazishi zingelikuja kwetu. think! uporoto think!

kaka saluti kwako yu a truli a greti sinka
 
haya bwana, usanii mwingine ni wa kuchekesha tu watu hapa kuondoa mastress. but omba usikutane na Judith, mie niko level nyingine, sidanganyiki kirahisi hivyo

Ha ha haaa, MJ kwani unafikiri atakujulisha in advance kwamba anataka kukudanganya?
 
hivi bado inatumika mpaka leo hii aliwai tumia dingi yangu mdogo miaka mingi na mm ndio alinifundisha niliaply once tu
 
Ha ha haaa, MJ kwani unafikiri atakujulisha in advance kwamba anataka kukudanganya?

najua kuwa mtu mwongo hatoi taarifa, ila mie siyo type ya kudanganywa na tugari twa maafande, akili yangu ina makali ya kutisha, inakata kuliko wembe, kudanganyika mie sahau!
 

mh,kweli tembea uone. Jf kuna mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…