Mbinu mpya kwa wenye nyumba ndogo

Hahahahahahaha...........I you dont trust yourself, no body will.......Nimeipenda hii Miss Judith
But be watchful..............
najua kuwa mtu mwongo hatoi taarifa, ila mie siyo type ya kudanganywa na tugari twa maafande, akili yangu ina makali ya kutisha, inakata kuliko wembe, kudanganyika mie sahau!
 
Bad enough mbinu zaongezeka kila kukicha Bidada

mmmh,jf najifunza mengi,mkitupa wadada mbinu zote,tutakuwa hatudanganyiki tena.nyie endeleeni kumwaga mbinu zote
 

Hahahaha hujasikia kwamba wa mlimani hatufai??
 
Shida ya nini sasa kutafuta sababu za kudanganya na kula mambata ya polisi bure? Dawa ukimchoka acha zako nenda kahamie huko ule weee ukichoka tena unahama tena kwengine hivyo hivyo mpaka mwisho wako. Kujitia presha bure....
 
Shida ya nini sasa kutafuta sababu za kudanganya na kula mambata ya polisi bure? Dawa ukimchoka acha zako nenda kahamie huko ule weee ukichoka tena unahama tena kwengine hivyo hivyo mpaka mwisho wako. Kujitia presha bure....

Ushauri mzuri......lol
Pumzika kufyatua hizo nanihii bwana.......................😛lane:
 
wanawake hamutuwezi tumeumbwa kabla yenu, mbinu kila siku yunagundua mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…