Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 631
- 592
Habarini za asubuhi,
Wale jamaa zetu wa "tuma kwenye namba hii" kisha wakaja na kauli mbiu yao ya "Mimi mwalimu mtoto wako ameanguka ghafla tunaomba utume pesa kidogo ya kusaidia matibabu ya haraka huku ukijiandaa kuja" wamekuja na kauli nyingine isemayo: "
Habari yako? Mimi mwenye nyumba wako naomba hiyo kodi ya nyumba irushie kwenye hii ttcl 0734 693 419 maana na shida nayo, halafu mbona umekaa kimnya bila taarifa?
Namba ya mtumaji 0734 457 719
Chukueni tahadhari wale mliopanga
Wale jamaa zetu wa "tuma kwenye namba hii" kisha wakaja na kauli mbiu yao ya "Mimi mwalimu mtoto wako ameanguka ghafla tunaomba utume pesa kidogo ya kusaidia matibabu ya haraka huku ukijiandaa kuja" wamekuja na kauli nyingine isemayo: "
Habari yako? Mimi mwenye nyumba wako naomba hiyo kodi ya nyumba irushie kwenye hii ttcl 0734 693 419 maana na shida nayo, halafu mbona umekaa kimnya bila taarifa?
Namba ya mtumaji 0734 457 719
Chukueni tahadhari wale mliopanga