Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
katika kuelekea uchaguzi wa october 31, uwezo wa dr slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake jana (23/06/2010) kurudi dar kwa mapunziko
magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na dr slaa uenda kaishiwa hoja
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
SHY umeongoka lini mkuu?sasa hivi hatujibu ukiweka mada mbofu mbofu tutakuangalia tu ukiharibu za wenzako unakuwa banned au ignore
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/06/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
To say this you need to be very genius otherwise you might go mad..
Wewe unaakili sana..........ni kweli amechoka sana na afya yake ni mgogoro na hafai kuwa rais wetu na ndiyo maana anaanguka hovyo majukwaani...........ccm hoyeeeee
tarehe 23/06/2010? Kweli jk anaumwa. Mbona tarehe hiyo kampeni zilikuwa hazijaanza?
ha ha ha ha ha hawa ni wana JF wapya waliojiunga baada ya Raia mwema kutoa takwimu, ha ha ha - you can make fool some people for some time but you can not fool them all the time