Basic Information
Statistics
Total Posts
Total Posts
30
Posts Per Day
30
Total Thanks
Total Thanks
2
* Thanked 1 Time in 1 Post
General Information
Last Activity
Today 04:01 PM
Join Date
24th September 2010
huyu anayejiita Jeykey wa ukweli nahisi tangu aamke yeye macho ni kwenye screen tu.
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/09/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/09/2010) kurudi Dar kwa mapunziko
Magazeti ya leo yamereport kuwa amakuja kwa kikao cha kamati kuu, Kwanini kamati kuu sasa wakati wa kampeni?
Nina wasiwasi na Dr Slaa uenda kaishiwa HOJA
ha ha ha ha ha hawa ni wana JF wapya waliojiunga baada ya Raia mwema kutoa takwimu, ha ha ha - you can make fool some people for some time but you can not fool them all the time
ha ha ha ha ha hawa ni wana JF wapya waliojiunga baada ya Raia mwema kutoa takwimu, ha ha ha - you can make fool some people for some time but you can not fool them all the time