Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPUUZI.kufunga unlimeted data subscription nyumbani ni njia bora zaidi ya kujenga isolation na kutengeneza makazi ya misukule kila mmoja na ulimwengu wake.
hapo mnaweza kukuta week inakatika mzungumzi ikumbukwe verbal interaction ni msingi wa kujenga familia bora yenye umoja na mshikadano.
sasa data unlimited kila mtu na smartphoni huyu anakula huku yuko na smartphone yule chumbani kajifungia anaperuzi sites za ngono ajilipue, yule yuko chooni anakuny.a huku yuko na simu kila mtu anakua busy na simu.
Mtoto akipatwa na jambo chakwanza ni kupost status mzazi anakuja kuona "hee kumbe umepatwa na tatizo" mtoto yuko karibu na simu kuliko wazazi, mke anaburudishwa na wanaume mitandaoni mume anasaka utelezi mda wote mtandaoni hakuna mwenye muda na mwenzake data si unlimited bwana.
mimi natumia gofiber nalipia 75k kwa mwezi na speed ni 20mbps. movie ya 1gb nashusha chini ya dakika 10speed ni ngapi mkuu.
No zao naombamimi natumia gofiber nalipia 75k kwa mwezi na speed ni 20mbps. movie ya 1gb nashusha chini ya dakika 10
unaweza kupata dstv,azam na channels karibia zote duniani kama unajua kuset stbemu/stalker portals codes. siwezi kuweka info zaidi wanangu bado wadogo.Ving'amuzi kama DSTV tunawezaje kuaccess kwa kutumia internet? Badala ya kulipia kifurushi?
gofiber no +255677300120 tumia reference no 8565 (ila sio lazima) na mimi ntapata free net japo ya wikiNo zao naomba
hawa wanafika popote dar au wana maeneo maalum?gofiber no +255677300120 tumia reference no 8565 (ila sio lazima) na mimi ntapata free net japo ya wiki
wamecover sehemu nyingi dar ila kama upo nje ya mji kdg ni vyema ukawapigia na kuwaambia location yako kisha watakujulisha huduma ambayo inakufikia.hawa wanafika popote dar au wana maeneo maalum?