Mbinu pekee atakazotumia Konde boy kumkabili Diamond

Mbinu pekee atakazotumia Konde boy kumkabili Diamond

umeudhihirisha upumbavu wako live mkuu, kabla yakuandika huu ujinga ungejiuliza je ni fitna ngapi anakutana nazo mondi? je harmo kashazipitia hata robo? nadhan ushapata jibu...

kingine ktk maisha kuna vitu hua ni unique, pesonaliy ya michael jackson itabaki yapekee ktk mziki wa dunia japo haishi, sio kua hawapo wasanii laah wapo bt hawawez kua mj na ndo hvo hvo kwa diamond, hata harmo amkopi vp mond kamwe hawezi kua mondi...

usikute umeuandaa huu uzi wiki mbili ukijua nikiuachia ntaonekana genius kumbu bongo lala mzuri tu, hata wanaonunua vitabu vyako wanakazi..
 
Alichofanya harmonize sa hivi ni kukusanya wale hater wa Diamond ndo kua mafans wake,kuanzia media zisizompenda,watu wasompenda,wasanii wasompenda Diamond na watu wenye wivu ulopitiliza.Na ndo Mana wanamsapoti kwa nguvu konde (kukomoa stile).
Ila wanatumia gharama kubwa Sana pasi na faida yoyote,na hata support Yao ni pale tu anavyotoka ktk event ya Media zao na Baada ya hapo kila mtu hushika njia yake.
Tena dogo sa hivi anapiga show za bure hasa za E-fm mradi aonekane hajatetereka(wanamtumia ili aendele kupromotiwa bila kujijua)


In short kakutana na wajanja wa mjini watamtumia wata muacha,no wonders sifa mnazo mpa ndo hizo hizo mmetumia kwa kina kina,aslay,Barnabas na wengine kibao Ila maslahi hakuna na hata wao wakijakuona wametimiza lengo lao watashika njia tu kumuacha njia panda.
Konde boy kwa hela alopiga WCB kwa muda mchache mpaka kujidai analipa Deni,hatokaa apige Tena.


Mondi aliwajengea msingi mkubwa Sana wa kulipwa maslahi mazuri Zaid ya maelezo na ndo mana wote walichange maisha Yao kwa mud mchache.
Hivi unaweza kumlinganiah
aslay na mboso kimaslahi?
unaweza mlingnisha Rayvany na Barnabas kimaslahi?
unaweza mlinganisha Harmonize na Ali kiba kimaslahi?

Jibu ni kwamba WCB ni watu serious Sana ktk suala la Sanaa ya music(Media nyngi hazipigi music yao lakini bado wapo juu mwaka watatu huu mfululizo yangu waache kabisa.

Wana watu wenye ujuzi na vitengo vyao vyotevinajua vifanye nn kwa wakati gani.

In Short hili game wameliteka na wanafanya watakavyo na ndo hapo chuki Zina wapata wasowapenda.

So wakikutana na mtu kama harmonize ametoka huko bila aibu wanambeba na kumng'ang'ania ili tu wajifariji nafsi zao(NAMBA WANAISOMA HASWAA),

Tena wanatamani hata harmonize asiseme ni Nani kamtoa na kamsimamia mpaka alipofika(Hili tumewaona Sana kwa Majizo na E-fm yake kiasi wakaona waondoe hata baazi ya maneno ktk nyimbo za harmonize zinazomtaja Diamond😅😅).

Ukweli no kua

WCB VIJANA WANAPIGA KAZI HASWAA.
WANATEAM YA WATU WALOSOMA HASWAA.
WANAJUA WATU WANATAKA NN NA KWA WAKATI GANI KISHA WANAKILETA KAMA KILIVYO.
WCB NI CHUO NA MWIBA KWA MABWANYENYE WOTE WA MUSIC YA TZ
ROHO ZINAWAUMA HAWANA LA KUFANYA TU ZAID YA DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE.
Watu wanamuona Diamond fala kuwachukua watu wenye influence kwenye media, jamaa anazungusha kichwa Sana , hao hao ndo anawatumia kumbeba, amemruhusu rayvanny kutoa nyimbo back to back tena nyimbo zinazogusa watanzania yaan soko la ndani, Kwa dada nyimbo za rayvanny ndo zinazopigwa zaid mtaani kuliko msanii yyte hapa bongo....

Harmonize anapambana ila nyimbo zake hazina ushawishi Sana kvile....zaid ya yote trending YouTube 1-5 ni mazalia ya Diamond ......harmonize Naye ameanza kutengeneza Kiki za mahusiano
 
Huyu huyu rayvan anayeimba sijui Chuchuma. Chuma ulete. Unaibiwa.. Labda kuna mwingine

...Twenzetu Joggin...
Hzo nyimbo Rayvanny huwa anajaribu, hata mie sizikubal kivile , mkono wa rayvanny upo kwenye slow sema yeye hajijui , Kwa sasa nyimbo za rayvanny ndo zinapigwa Sana mtaani na majumban kuliko nyimbo za msanii yyte hapa nchini
 
Hivi watanzania kwanini hatuamini kwenye kufanikiwa sio lazima umshushe adui yako , Kuna ubaya gani mkifanya kazi wasanii wawe wengi tasnia ikue.. wasanii wawe lukuki Kama Nigeria au South Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu huyu rayvan anayeimba sijui Chuchuma. Chuma ulete. Unaibiwa.. Labda kuna mwingine

...Twenzetu Joggin...
Mbona anaimba nyimbo Kali zenye kueleweka mf ex boyfriend, vumilia, one miss buza harmo ana wimbo za ovyo Kama hainistui, inabana, kainama n.k
 
konde alidhani akisapotiwa na media nyingi atatoboa kirahisi akasahau kua alomfanya kua juu ni huyo huyo alopigwa vita na hizo media bt kwa uwezo wake akashinda nakuzizidi nguvu media zote, nae ndo akawa mtawala wa industry

huezi pambana na anaecontrol game kwa kuwatumia waloshindwa vita na mtu1 alafu ukadhani utamshinda never happen.

pamoja na nguvu kubwa aloweka ktk uzinduzi wa afro east bt bdo album inaenda tartbu ngoma hazijafka alipotaka pia gharama hazijarudi

akiwa hajakaa sawa rayvany nae anampumulia matakoni, mtu aliekua kamwacha gape kubwa leo anamtishia nafasi yake, yaani umetoka ajili yakupambana na bosi hadi unaimba mipasho mwisho wa siku unaanza dhalilishwa na watoto wenzio... inaumaa ila itabidi azoee, inshort alichoimba kinamrudia mwenyewe
 
konde alidhani akisapotiwa na media nyingi atatoboa kirahisi akasahau kua alomfanya kua juu ni huyo huyo alopigwa vita na hizo media bt kwa uwezo wake akashinda nakuzizidi nguvu media zote, nae ndo akawa mtawala wa industry

huezi pambana na anaecontrol game kwa kuwatumia waloshindwa vita na mtu1 alafu ukadhani utamshinda never happen.

pamoja na nguvu kubwa aloweka ktk uzinduzi wa afro east bt bdo album inaenda tartbu ngoma hazijafka alipotaka pia gharama hazijarudi

akiwa hajakaa sawa rayvany nae anampumulia matakoni, mtu aliekua kamwacha gape kubwa leo anamtishia nafasi yake, yaani umetoka ajili yakupambana na bosi hadi unaimba mipasho mwisho wa siku unaanza dhalilishwa na watoto wenzio... inaumaa ila itabidi azoee, inshort alichoimba kinamrudia mwenyewe
Kabisa yani waliomshindwa anaenda kuungana nao ili amshinde..wataweza kweli,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hzo nyimbo Rayvanny huwa anajaribu, hata mie sizikubal kivile , mkono wa rayvanny upo kwenye slow sema yeye hajijui , Kwa sasa nyimbo za rayvanny ndo zinapigwa Sana mtaani na majumban kuliko nyimbo za msanii yyte hapa nchini

Huyo jamaa anafanya mzk wa biashara ilhali bado hajatafuta wateja. So anaishia kutapatapa tu..

Awekeze kwenye mzik wa slow mfano ile Wasiwasi na Kuchana ( Hiphop ) Coz jamaa anauwezo huo. Akifanya haya atajikuta anapata wateja wengi. So inakuwa simpo kufanya mzk wa bznes coz wateja anakuwa kashajitengenezea

Kondeboy anauwezo wa kufanya mzik wa Kutia huruma plus live Band.

Unakumbuka kwny uzinduz wa AfroEast. Jamaa alipoimba ' Never give up ' kuna watu walitoa machozi.

Kwa tanzania hayupo mwenye uwezo wa kuimba live paka shabik akaingiwa na hisia..

Hii itamtengenezea Loyal fans mchiz. Atafika mbali sanaa.. Mziki wa Live utarudi kupitia Mchiz.

Ule ujinga wa sjui piga keleee.. utabak historia. Konde boy anajua anachokifanya kwa sasa, Rayvan bado anatapatapa
 
nasoma coment hapa nakutana na michango ya wachawi tu wenye roho za kimasikini.

hivi mnadhani kondeboy akitoboa mond ananuna,au mna wasi wasi sababu alimpurusa 500mln???atakuwa anaona haya.

mond amehangaika sana kujishika mpaka alipo sasa,na alisifiwa.cha ajabu wengine wakitaka wafanye kama yeye wanaonelana vilaza.acheni ushoga kijana wa watu ajipime uwezo.

kama mnamzidi si muendelee na harakati zenu,daily hakauki midomoni mwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee Harmonize anajua kuimba kuliko Diamond!? Umepotea. Diamond ameshindikana na hagusiki asee na silaha yake kuu ni kujituma sana. Atadondoka siku akiacha kujituma na si kwa uwezo wa msanii yeyote hapa nchini. Au labda kama ataamua kustaafu muziki
Domo anajua kuimba?,uko serious kweli?,sikiliza wimbo wa baba lao na nyingine za siku hizi urudi hapa useme kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom