Mimi na biashara yangu ya viatu vya shule, wateja wengi ni wamama wenye watoto mashuleni. Sasa nawaza nitumie mbinu gani ili wamama wengi wanijue au waone biashara yangu.. wenye mbinu tafadhali nisaidieni.
ipo namna ya kuweka sponsored ads kuwafkia wanawake pekeake tena wenye watoto kipindi hiki cha likizo utawapat weng tu njoo whatsap nkusaidie 0747787410