Mbinu wanayofanya Panya Road

Mbinu wanayofanya Panya Road

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Msako unapokuwa mkali, (msako huo)wanajua ni mijini tu husogea mji wa karibu na mjini. Kwa mfano wakisakwa DSM husogea Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na kadhalika.

Msako ukizidi zaid huelekea mikoa ha jirani. Kwa mfano Morogoro, PWANI, Tanga nk au hata ndani ndani huko kusikofikika.

Jeshi la polisi lichukue hii kama changamoto ya kazi Yao na kwamba panya wakiona hali imetulia hurejea mijini na kula nchi kama kawaida, na kabla hawajaanzisha uporaji hawa "teenage gangs terrorising the streets" hupora kidogo dogo Hali ambayo Kwa spidi yake nchi inaona hali ni shwari kumbe Kuna wizi wa rejareja.

Hawa wapuuzi hasa wale mapapa wao wanamiliki bodaboda za wizi na kwa kawaida hupelekewa Hesabu kama mabosi wengine wamiliki wa pikipiki. Kwa nn nasema hii hakuna sensa ya pikipiki. Pikipiki Kwanza hata traffic hawana Muda nazo.

Pikipiki nchini zimeachwa kama nzi na funza chooni. Wanaoishi wapendavyo, wanafanya wapendavyo, hukimbia wanavyopenda, hujui boda ipi ni ya waporaji ipi nipande ni MTU mwema. Yaani nchi yetu IPO IPO tu.
 
Msako unapokuwa mkali, (msako huo)wanajua ni mijini tu husogea mji wa karibu na mjini. Kwa mfano wakisakwa DSM husogea Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na kadhalika.

Msako ukizidi zaid huelekea mikoa ha jirani. Kwa mfano Morogoro, PWANI, Tanga nk au hata ndani ndani huko kusikofikika.

Jeshi la polisi lichukue hii kama changamoto ya kazi Yao na kwamba panya wakiona hali imetulia hurejea mijini na kula nchi kama kawaida, na kabla hawajaanzisha uporaji hawa "teenage gangs terrorising the streets" hupora kidogo dogo Hali ambayo Kwa spidi yake nchi inaona hali ni shwari kumbe Kuna wizi wa rejareja.

Hawa wapuuzi hasa wale mapapa wao wanamiliki bodaboda za wizi na kwa kawaida hupelekewa Hesabu kama mabosi wengine wamiliki wa pikipiki. Kwa nn nasema hii hakuna sensa ya pikipiki. Pikipiki Kwanza hata traffic hawana Muda nazo.

Pikipiki nchini zimeachwa kama nzi na funza chooni. Wanaoishi wapendavyo, wanafanya wapendavyo, hukimbia wanavyopenda, hujui boda ipi ni ya waporaji ipi nipande ni MTU mwema. Yaani nchi yetu IPO IPO tu.
Mtakuja na ushauri na kila aina ya nadharia lakini ukweli ni: mfumo wetu wa utawala umesha-collapse siku nyingi. Tunahitaji kuusuka upya, bila kufanya hivyo hakuna kitakachobadilika sana sna hali itazidi kuwa mbaya.
 
Cha kufanya ni kutengeneza magobole ya asili. Wakifika we ni kufyatua tu kiwake nje nje. Maana smtyms haiingii akilini kua hawa vijana wanaanza kuvamia kuanzia nyumba ya kwanza mtaani, wanaendelwa na inayofata n.k af watu wako ndani wanangojea zamu yao ifike wavamiwe pia. Kweli dzm n changamoto
 
Walikuja wakatesa, WAKATESA ZAIDI wakapoa. Msimu ulimalizika.

Msimu mpya ulipoanza HAWAKUSIKIKA KABISA.msimu ukakatika na kumalizika njiani.

Msimu mpya umeanza. WAMERUDI KWA FUJO[emoji848]
 
Back
Top Bottom