GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Baada ya Chama cha Jubilee ambacho kina Wagombe Urais na Makamu wake Uhuru Kenyatta na William Ruto kufanya Ujasusi wao wa ndani kwa ndani ili kuweza kujua kama wanakubalika au safari hii wataibuka tena washindi ambapo baada ya kujua hali ni ngumu Kwao waliweza kuwa Wabunifu na kuwafanyia Wakenya Umafia huu ( ambao haujawahi kutokea duniani kote ) kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi ya nchini Kenya IEBC ambao kwa kiasi fulani utawafanya waibuke tena Kidedea.
Yafuatayo ni matukio ya Kimafia ambayo Kenyatta, Ruto na IEBC imewafanyia wapiga Kura wa nchini Kenya ambao kwa kusema ukweli safari hii muitikio wao ni mkubwa sana tena kutoka kwa Kundi kubwa la Vijana na Wazee ambao ndiyo wengi na wenye hasira na Uongozi unaomaliza muda wake madarakani:
Hawa Watu miezi 3 hadi 6 iliyopita waliamua kupima joto lao la Kukubalika Kisiasa huko Kenya na mara baada ya kuona kuwa safari hii mziki utakuwa ni mkubwa / mzito walianza kichini chini kujipanga Kimkakati zaidi ambapo waliwashirikisha Wataalam mbalimbali wa Udukuzi wa Kimtandao na pia walitafuta mbinu za Kimafia zaidi ( ikiwemo ya Kuwaua wale ambao ni Potential threat Kwao ) za kuweza kuwazidi akili Wakenya ambao hawakushtuka mapema na ndiyo maana unaweza kuona kwamba baada ya akina Kenyatta na Ruto kujua na hata kuhakikishiwa kuwa mambo ni mukide / shwari / safi walikuwa ni Watu wenye furaha muda wote wa Kampeni zao kote walikopita tofauti na Odinga na Musyoka ambao wao walikuwa ni Watu wa kupiga tu Kelele, Kulalamika na Kulialia.
Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba hizi mbinu za Kimafia za akina Kenyatta na Ruto zitakuja kutumika tena katika Chaguzi mbalimbali za nchi mbalimbali za Afrika japo sina uhakika kama Tanzania zitatumika kwani nahisi Tanzania haina huo upuuzi / upupu kwakuwa sisi siku zote tumekuwa ni nchi ya amani, upendo, utu na mshikamano.
Wakenya nifikishieni sana salamu zangu kwa Kenyatta na Ruto na waambieni kuwa GENTAMYCINE ninawaamkia Shikamoo ila msisahau pia kunifikishia salamu zangu za pole sana kwa Mzee Odinga na Musyoka kwa kuwaambia kuwa GENTAMYCINE nimesema wapambane tu na hali zao.
Nawasilisha.
Yafuatayo ni matukio ya Kimafia ambayo Kenyatta, Ruto na IEBC imewafanyia wapiga Kura wa nchini Kenya ambao kwa kusema ukweli safari hii muitikio wao ni mkubwa sana tena kutoka kwa Kundi kubwa la Vijana na Wazee ambao ndiyo wengi na wenye hasira na Uongozi unaomaliza muda wake madarakani:
- Maeneo mengi ya Nyanza hadi Kisumu ambapo ndipo inasemekana kuwa ndiyo stronghold ( ngome kuu ) ya Odinga na Kalonzo na Chama chao cha NASA Vifaa vya vimecheleweshwa kufika hali ambayo imeanza kuwakatisha tamaa wapiga Kura ambao walikuwa wanataka kupiga Kura na kuwahi ratiba zao zingine za Kimaisha.
- Maeneo mengi yenye Vijana wengi ambao wanaonekana wanataka kumchagua Odinga na Musyoka kuna matatizo makubwa katika majina yao kitu ambacho kitawafanya wengi kushindwa kupiga Kura leo.
- Kitendo hasa cha Chama cha NASA cha akina Odinga na Musyoka kukubali kuwa vile vituo takribani 11,000 ambavyo havina internet access basi Kura zake zitabebwa katika Gari na kwenda kuhesabiwa katika maeneo ya karibu yenye internet ni Kosa kubwa kwani hapo katikati kuna Umafia mkubwa sana utatokea ama wa wale Mawakala wa NASA kupewa Pesa au Kutishwa Kuuwawa hali ambayo itasaidia sana kufanya umagumashi wa zile Kura.
- Tume ya Uchaguzi IEBC kwa kushirikiana kabisa na akina Kenyatta na Ruto baada ya kugundua mapema kabisa kwamba katika Uchaguzi huu kuna mwamko mkubwa walichoamua kufanya ni Kuchapisha Karatasi nyingi za Kuwapigia Kura Wagombea mbalimbali nia kubwa ni kufanya mlolongo uwe mrefu siku ya kupiga Kura na pia kuwachosha wapiga Kura ili wakate tamaa na wasipige Kura.
- Katika yale maeneo yote ambayo ni tishio kwa akina Kenyatta na Ruto wamepandikizwa Wanawake ambao ni Wajawazito na Wazee ambao watajitokeza kwa uwingi na kwakuwa Sheria ya IEBC inasema wazi kwamba akina Mama wajawazito na Wazee wapewe Kipaumbele katika Kupiga Kura hivyo hawa watakuwa kila mara wanajitokeza hali ambayo kwa kiasi kikubwa mno kutokana na hali zao hizo zitawafanya wachelewe hivyo kupunguza idadi au kasi ya Wapiga Kura katika hivyo Vituo na kuwaathiri akina Odinga na Musyoka.
- Upigwaji wa Kura utalazimishwa uende taratibu ili angalau mpaka jioni kabisa Watu wawe wanapiga Kura kisha kuna tamko litatoka katika Tume IEBC kuwa muda umeongezwa hadi Saa mbili au Saa tatu usiku ili angalau Watu wote wapige Kura zao kisha wakati Watu wakiwa wanaendelea kupiga Kura zao Umeme utakatwa ghafla hali ambayo hapo ndipo Umafia wa Kuchakachua / Kuiba na hata Kupoteza kwa makusudi masanduku ya Upigwaji Kura utafanyika.
- Wakati sasa wa Uhesabuji wa Kura na kuziingiza katika mfumo mzima wa Kidata hapa ndipo akina Odinga na Musyoka wakatapolizwa na kusaga meno kwani tayari akina Kenyatta na Ruto wameshawaleta Wataalam wa masuala ya IT kutoka Israel na Germany ambao inasemekana ni Mabingwa sana wa kucheza na data za Kimtandao kama ambavyo akina Odinga na Musyoka na Wao walimleta Yule Rafiki yao kutoka nchini Canada ambaye hata hivyo juzi tu alikuwa deported Kwao ambapo na Yeye pia aliletwa hapo kuja kufanya Umafia huo huo.
Hawa Watu miezi 3 hadi 6 iliyopita waliamua kupima joto lao la Kukubalika Kisiasa huko Kenya na mara baada ya kuona kuwa safari hii mziki utakuwa ni mkubwa / mzito walianza kichini chini kujipanga Kimkakati zaidi ambapo waliwashirikisha Wataalam mbalimbali wa Udukuzi wa Kimtandao na pia walitafuta mbinu za Kimafia zaidi ( ikiwemo ya Kuwaua wale ambao ni Potential threat Kwao ) za kuweza kuwazidi akili Wakenya ambao hawakushtuka mapema na ndiyo maana unaweza kuona kwamba baada ya akina Kenyatta na Ruto kujua na hata kuhakikishiwa kuwa mambo ni mukide / shwari / safi walikuwa ni Watu wenye furaha muda wote wa Kampeni zao kote walikopita tofauti na Odinga na Musyoka ambao wao walikuwa ni Watu wa kupiga tu Kelele, Kulalamika na Kulialia.
Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba hizi mbinu za Kimafia za akina Kenyatta na Ruto zitakuja kutumika tena katika Chaguzi mbalimbali za nchi mbalimbali za Afrika japo sina uhakika kama Tanzania zitatumika kwani nahisi Tanzania haina huo upuuzi / upupu kwakuwa sisi siku zote tumekuwa ni nchi ya amani, upendo, utu na mshikamano.
Wakenya nifikishieni sana salamu zangu kwa Kenyatta na Ruto na waambieni kuwa GENTAMYCINE ninawaamkia Shikamoo ila msisahau pia kunifikishia salamu zangu za pole sana kwa Mzee Odinga na Musyoka kwa kuwaambia kuwa GENTAMYCINE nimesema wapambane tu na hali zao.
Nawasilisha.