kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,516
- 10,423
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudi nyumbani awache utamaduni wake wa kuchochea waKenya na kukachifu kila mradi wa maendeleo.Odinga safarii akishindwa sijui watamtuliza vipi,maana maneno yake kwenye kampeni ni hatari,ngoja tuone kitakacho tokea.
We umesahau Dhulma za ccm?!Kenyatta kipenzi cha wana UKAWA atashinda!
Hahahha.. Pamoja na dhuluma anazotaka kufahya Kenyatta, lkn utasikia nyumbu eakimuunga mkono kisa mwenyekiti kasema!
......
thibitishaDuuuh hatari sana
Tayari watu kisumu walishaanza kulalamikia kukosekana kwa majina yao......
Tena in landslide naangalia hapa KTN kwakweli ni umafia wa hali ya juu sana .
Muongo sana huyu mzee