Mbinu ya Kenyatta, Ruto na IEBC haijapata kutokea tokea dunia iundwe!

Usifananishe umafia na ulafi wa madaraka! Those are two different things!!
 
Duuuh hatari sana

Tayari watu kisumu walishaanza kulalamikia kukosekana kwa majina yao......

Tena in landslide naangalia hapa KTN kwakweli ni umafia wa hali ya juu sana .

Hii ni hatari sana kwa chaguzi za Kiafrika. CCM ni yaleyale huwa yanafanyika. GE 2015 mtakumbuka wataalmu wa IT wa CHADEMA/UKAWA walivyovamia na kupora simu, Laptop,D/Top computers kwa mazingira yaleyale!!!
Hii game imechezwa mezani kabla ya mechi. Hivi watu wanafikiri yule mtaalamu wa IT kutoka IEBC aliuawa kwa bahati mbaya? No!This was planned before maana huyu jamaa alikuwa ni threat kwa Uhuru na Ruto na likely was a Luo(not sure) somebody Chris Musando by name!!!!
 
Asanteeee, Tanzania hatuna ujinga huo wa kuibiana kura, CCM ni haki bin haki, naamini nchi yetu Tz ni ya Amani, Upendo na Demokrasia ya kweli..
Pia ukishindwa ktk uchaguzi, waafrika tujifunze kukubali matokeo..

 
Hawa jamaa wako mbioni kuzichapa, siwaombei mabaya lakini. Lakini vurugu wanazitaka wenyewe hakika..
 
Asante kuwakilisha, umetufumbua macho. Nahisi kina Lowassa wa CHADEMA wamekusanya Wamasai kuunga mini Jubilee; wewe utakuwa ni Mjaluo (wa CHADEMA hukohuko, Marando? Waitara? Henche? Matiko?) na wewe uneamua kupigia debe ukabila lako kwa kumuunga mono Mjaluo mwenzio Raila. Naomba mtuachie chama chetu CHADEMA msilete mambo ya Kenya hapa. Swali la mwisho nikuulize bado hujafafanua: kwani Tume iko upande wa nani? Why? Na mahakama je? Tunakumbuka kazi za ujaji mkuu zilitangazwa hadharani interview akashinda yule bwana mwrnye hereni, kumbe ni Kikuyu? Baada ya juhudi zote kushindikana, unajisikiake kuwa raia mwema tu wa Tanzania uwache uchochezi?
 
Mwambie Odinga akubali kushindwa... Wakenya wapo na Uhuru, tano tena kwa Uhuru
 
Hivi kuna nchi yoyote ya Kiafrika labda ukiondoa Tanzania yetu hii hayo masuala ya uwizi na hila katika Uchaguzi hayafanyiki?


Labda ghana vinginevo wooote nimajizi yakiongozwa na Nambari one ccm then Mgabe halafu Museveni na ibilisi mwingine Kagame
 
CCM wao hawatumii mbinu kwa vile wakijitangazia matokeo kivyao vyao!!!
 
Wewe jamaa Jana habari za ushindi wa Kenyatta zilikuwa nyingine tena za halali, Leo unakuja na habari nyingine!!!!! Una nini na wakenya? Kwa habari uliyoileta Jana na hii ya Leo tusimamie wapi?
 
Hawa lazima wazichape

This time nikishindo kikuuu hata waigizaji watajlaum kwa kusababisha maafa
 
Duuuh hatari sana

Tayari watu kisumu walishaanza kulalamikia kukosekana kwa majina yao......

Tena in landslide naangalia hapa KTN kwakweli ni umafia wa hali ya juu sana .

Hii ni hatari sana kwa chaguzi za Kiafrika. CCM ni yaleyale huwa yanafanyika. GE 2015 mtakumbuka wataalmu wa IT wa CHADEMA/UKAWA walivyovamiwa na Mapoliccm na kuporwa simu, Laptop,D/Top computers zao katika mazingira yaleyale!!!
Hii game imechezwa mezani kabla ya mechi. Hivi watu wanafikiri yule mtaalamu wa IT kutoka IEBC aliuawa kwa bahati mbaya? No!This was planned before maana huyu jamaa alikuwa ni threat kwa Uhuru na Ruto na likely was a Luo(not sure) somebody Chris Musando by name!!!!
 
Kenyatta kipenzi cha wana UKAWA atashinda!

Hahahha.. Pamoja na dhuluma anazotaka kufahya Kenyatta, lkn utasikia nyumbu eakimuunga mkono kisa mwenyekiti kasema!

......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…